KCMC na logo ya nyoka!

Freemason wamesema katika makanisa yetu haya toa gamba la kwanza,la pili,la tatu,la nne,na hata la tano,la sita utawakuta.Usitishike na jina la Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania,hamna kitu, wamekamatwa hao.Kutumia nembo yenye nyoka inadhihirisha wazi affiliation yao.Akili kichwani.
 
Alama ya nyoka inaonyesha uwepo wa maji. Maji ni uhai, hivyo alama ya nyoka kwenye logo za hospitali ni kutoa matumaini ya uhai kwa wagonjwa
 
Unahitaji elimu,elimu,elimu. Acheni hizi story za vijiweni kuhusu freemasons,illuminati etc,etc
 
View attachment 24014nimesha wahi kujiuliza kuhusiana na hii habari ya nyoka na msalaba kwenye mahospitali yetu sikupata jibu, naona ni wengi inawachanganya, hii ni alama mojawapo nilipata marangu hospitali.


Mbona wagumu kuelewa mnapoelekezwa
Nyoka=uponyaji
msalaba=huduma
Ndo mana hata box la huduma ya kwanza linakuwa na alama ya msalaba
 
Kaka una jina la ukoo ,umekurupuka kama ulivyokurupuka kuleta mada ambayo hukuifanyia utafiti.Kimsingi mtu ana majina matatu;la ukoo,la kati na la kwanza.Hakuna ukoo wa kiafrika una jina la Elia nahisi umetumia jina la babaako Elia kama ukoo.Nenda kamuulize vizuri atakuambia .Kuhusu dini nadhani sababu ile ni taasisi ya kidini wanaweza wakawa wanafuatilia jamii ya aina gani wayoihudumia
 

NO WRITE TO SPEAK OR NO RIGHT OF TYPING. U meant that attachment iko in form of audio or form of notes..
 
Dracunculus medinensis ambayo kuitoa inabidi kutumia kijito
This method of wrapping the worm around a stick or gauze is speculated to be the source for the Rod of Asclepius, the symbol of medicine.
 
pole, mie ni miongoni mwa watumishi wa Masuala ya afya. acha mawazo hayo.
 

Naomba niweke sawa kuhusu Logos za taasisi mbalimbali. kila taasisi kulingana na field yake. Field zote za medical and pharmacy logos zake huambatana na nyoka katika designs zake. Tusikariri kuwa nyoka inawakilisha shetani.
 
Good rhwy want to see if there is any association of certain diseases with kinships
 
Watanzania ukitaka kuwaficha maarifa wewekee kwenye maandishi. Tumekuwa wa kulalamika tu hatutaki kufanya utafiti wala kusoma vitabu kidogo tu. Mtu ana simu ya Android anakimbilia kulalamika hapa JF laiti angeingia google angepata maarifa ya kumtosha. Ndugu umeelezea vizuri sana kuhusu nyoka na huo mti aliyojizungusha juu yake.
 
Unalalamika ubaguzi uliotendewa na KCMC lakini na wewe unachambua nembo ya KCMC katika mantiki ambayo ni ya kibaguzi!!!!!!!!!! Upo kama una kaudini ndani ya moyo wako lakini unakaficha na kukapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Wivu tu kwa vile KCMC ni Christian institution na iko mkoa Wa Kilimanjaro
Anatamani ingejengwa kwao
 
Nami nimepata kujua haswa nini maana ya picha ile
 
Sawa mkuu,na kwanini huwa kwenye mahospitali mengi wanauliza kabila?
 
Mbona kuna watu wanasema ile nembo ya Muhimbili haina nyoka bali ni mnyoo!
 
 

Umetisha mkuu. It is more than excellent answer. Kqmq asipoelewa basi ni taahira au ana majibu yake mwenyewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…