Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Mmeanza kulamba miguu ya wazungu tokea enzi za mababu zenu na ka gap kenyewe mlichopiga utopolo tu acha tuwaonyeshe mziki sahivi hatuhitaji kwenda kujikomba kwa jirani yeyote wala kulilia nchi za watu ili tupate ugali.na hapo tulipigwa fitna na mabwana zenu je tungekua walamba miguu ingekua vipiZambia na Malawi lazima pia tuwatie kapuni kama tulivyowafanya nyie.