KCB inapanga kununua Benki moja Tanzania na nyingine Rwanda

Zambia na Malawi lazima pia tuwatie kapuni kama tulivyowafanya nyie.
Mmeanza kulamba miguu ya wazungu tokea enzi za mababu zenu na ka gap kenyewe mlichopiga utopolo tu acha tuwaonyeshe mziki sahivi hatuhitaji kwenda kujikomba kwa jirani yeyote wala kulilia nchi za watu ili tupate ugali.na hapo tulipigwa fitna na mabwana zenu je tungekua walamba miguu ingekua vipi
 
Sio kweli. KCB historia yake Ilianzia India kisha ikaja Kenya. Ilikuja Kenya na ikawa benki ya kwanza Kenya na hio ilifanyika zaidi ya miaka mia moja iliopita. KCB haikuanzia Zenji.
Technically, Yes and No. The Kenyan Government acquired BRANCHES of the Bank of India from which it established KCB. However, Bank of India still exists in Kenya , actually in Mombasa , it faces its original branch.
However, at no point was it under Indian control with the name KCB, that is a GOK name. It is under the Government of Kenya that KCB has grown from the (was it two or three) branches it acquired from Bank of India, to becoming the largest bank in East and Central Africa.
 
Mmeanza kulamba miguu ya wazungu tokea enzi za mababu zenu na ka gap kenyewe mlichopiga utopolo tu acha tuwaonyeshe mziki sahivi hatuhitaji kwenda kujikomba kwa jirani yeyote wala kulilia nchi za watu ili tupate ugali.na hapo tulipigwa fitna na mabwana zenu je tungekua walamba miguu ingekua vipi

Kuna sehemu nilisoma na Msumbiji tumeshaanza kufuata, kwa kifupi tumewekeza kwa mataifa yote yaliyowazunguka mkiwa mumelala kwa mlivyo wazembe.
 
Kuna sehemu nilisoma na Msumbiji tumeshaanza kufuata, kwa kifupi tumewekeza kwa mataifa yote yaliyowazunguka mkiwa mumelala kwa mlivyo wazembe.
Usiseme mme sema baadhi yenu mmewekeza kwa msaada wa kulamba buti la bepari......nyie pangu pakavu msubiri kupandwa na mbwa wa wazungu tu huko mombasa na kuuza wake zenu kwa wazungu
 
Usiseme mme sema baadhi yenu mmewekeza kwa msaada wa kulamba buti la bepari......nyie pangu pakavu msubiri kupandwa na mbwa wa wazungu tu huko mombasa na kuuza wake zenu kwa wazungu

Tunawekeza hadi Somalia tukipishana na mabomu sembuse kwenu hapo. Hiyo SADC yote tutafika mkiwa mumelala hapo.....hehehe hadi raha.
 
Tunawekeza hadi Somalia tukipishana na mabomu sembuse kwenu hapo. Hiyo SADC yote tutafika mkiwa mumelala hapo.....hehehe hadi raha.
Sema wanawekeza sio mna......weye kanye kweye vifuko hapo kibera uhare maparachichi na mahindi toka tz badae ukatupe kamfuko kako kwenye mtaro........hapo uko tao unagongea ka wifi unakuja kujifariji huku.....hii ndo mtakuja blaza you can't live without
 
Tunawekeza hadi Somalia tukipishana na mabomu sembuse kwenu hapo. Hiyo SADC yote tutafika mkiwa mumelala hapo.....hehehe hadi raha.
Sema wanawekeza sio mna......weye kanye kweye vifuko hapo kibera uhare maparachichi na mahindi toka tz badae ukatupe kamfuko kako kwenye mtaro........hapo uko tao unagongea ka wifi unakuja kujifariji huku.....hii ndo mtakuja blaza you can't live without

Soko ambalo bado linatupea changamoto kuingilika ni la Kaskazini, Ethiopia kwenda mpaka Misri, ila wamefungua juzi, tumeshapata leseni ya Safaricom, ukizingatia idadi ya watu Ethiopia ni zaidi ya mara mbili yenu, ujasiri wetu na uthubutu hadi raha hehehehe!!!

Nyie huko mlivyo kero hadi Zambia wamewachoka Zambia yakamata malori 200 ya Watanzania, nawaza hapa ingekua Kenya hakungekalika kwa kilio humu
 
Tunawekeza hadi Somalia tukipishana na mabomu sembuse kwenu hapo. Hiyo SADC yote tutafika mkiwa mumelala hapo.....hehehe hadi raha.


Soko ambalo bado linatupea changamoto kuingilika ni la Kaskazini, Ethiopia kwenda mpaka Misri, ila wamefungua juzi, tumeshapata leseni ya Safaricom, ukizingatia idadi ya watu Ethiopia ni zaidi ya mara mbili yenu, ujasiri wetu na uthubutu hadi raha hehehehe!!!

Nyie huko mlivyo kero hadi Zambia wamewachoka Zambia yakamata malori 200 ya Watanzania, nawaza hapa ingekua Kenya hakungekalika kwa kilio humu
Kuingilika si mnaingilika nyie huko mombasa kwani muna ugumu gani nyie yakheee............acheni akina Kenyata wafanye yao nyie tulieni muingiliwe na mabeberu tu huko kwenye fulusuti zenu za mabati......
Sema ujasiri wa akina Kenyata na wenzake sio wa akina nyie kajamba nane na vijumba vyenu vinavyoporomoka kila leo
 
Kuingilika si mnaingilika nyie huko mombasa kwani muna ugumu gani nyie yakheee............acheni akina Kenyata wafanye yao nyie tulieni muingiliwe na mabeberu tu huko kwenye fulusuti zenu za mabati......
Sema ujasiri wa akina Kenyata na wenzake sio wa akina nyie kajamba nane na vijumba vyenu vinavyoporomoka kila leo

Halafu Jambojet tumeanza kurusha hadi Goma, Jambojet starts Nairobi-Goma direct flights
 
Ndo hamjaanza leo leta jipya la kufanya wewe uache kushindia dona na githeri ? Kwani hilo ulilotuma ni jipya? Tunawajua ni mabibi wa hao labda sema lingine jipya la ajabu

Halafu haiya sikua najua Msumbiji tunaingia kichwa kichwa, SADC yote tunafanya makubwa zaidi ya nyie ambao uwoga wenu huko hamjafanikisha chochote, kumbe Msumbiji wamefungulia Wakenya milango Kenyans finally get direct entry to Mozambique
 
Back
Top Bottom