FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,141
- 1,448
Najua mmechoshwa na ' Uhimilivu wa deni la Mama ' sasa twende moja kwa moja kwenye Mada tajwa hapo juu, Zifuatazo ni kazi ambazo kutoboa kwake kupo mbalii sana..
Wafanyakazi wa Sheli za Mafuta.
Licha ya kufanya kazi kwa bidii na kujituma ila watu wa sheli wanapitia kipindi kigumu sana hasa kwa Loss na Mshahara kiduchu..
Walinzi wa Kampuni local
Licha ya kukesha usiku kucha lakini bado walinzi wanatumika km mtego hasa pale Lindo linapoingia dosari ya wizi. Walinzi wengi huangukia Gerezani hata kwa visa wasivyohusika navyo..
Wafanyakazi wa Super Market
Licha ya kuwa nadhifu muda wote lakini Hawa binadamu wanaishi maisha magumu sana, amini ninachowaambia..
Bodaboda
Ukiachilia mbali Maradhi ya kutisha Yale unayoyajua, basi barabara inatajwa kama sehemu Hatari zaidi kwa maisha ya binadamu.. Boda kutoboa ni ngumu saana
Waiter..
Hii kazi nayo kutoboa utapaskia tu kweny radio
Konda
Licha ya kuamka mapema na kufanya kazi ya kutupeleka miangaikoni lakini asilimia kubwa ya abiria bado Hawaoni thamani ya Konda.. Kwa siku moja pekee Konda anazozana na abiria wasiopungua 50, sasa Kuna kutoboa hapo kweli..?
Wenyeviti wa serikali za Mtaa
Hawa nao kutoboa huwa ni ngumu sana, hawana tofauti na mtu anayefanya Intern kwenye taasisi fulani.. fikiria unaamshwa saa kumi usiku kwa kazi ambayo mwisho mwa mwezi haupati kitu😂😂
Wauza Maduka ya Tabata na Sinza.. Hawa nao kutoboa kwao kupo mbaliii.. Unakuta duka limepambwa kama Sebureni sasa nani aingie kununua humo😂
Labor wa viwandani
Hawa nao kutoboa ni mtihani.. Pale Tabata Azam kwenye kiwanda cha Nida labor wanalipwa elfu5 kwa siku, wanakata chakula buku inabaki elfu4 na watu wanajaa kuomba kazi hadi wengine wanarudishwa nyumbani.. Halafu Kuna tahira huko linasifia CCM inaumiza sana..
Tuendelee kujituma na Kumwamini Mungu.. Yote yanawezekana..
Wafanyakazi wa Sheli za Mafuta.
Licha ya kufanya kazi kwa bidii na kujituma ila watu wa sheli wanapitia kipindi kigumu sana hasa kwa Loss na Mshahara kiduchu..
Walinzi wa Kampuni local
Licha ya kukesha usiku kucha lakini bado walinzi wanatumika km mtego hasa pale Lindo linapoingia dosari ya wizi. Walinzi wengi huangukia Gerezani hata kwa visa wasivyohusika navyo..
Wafanyakazi wa Super Market
Licha ya kuwa nadhifu muda wote lakini Hawa binadamu wanaishi maisha magumu sana, amini ninachowaambia..
Bodaboda
Ukiachilia mbali Maradhi ya kutisha Yale unayoyajua, basi barabara inatajwa kama sehemu Hatari zaidi kwa maisha ya binadamu.. Boda kutoboa ni ngumu saana
Waiter..
Hii kazi nayo kutoboa utapaskia tu kweny radio
Konda
Licha ya kuamka mapema na kufanya kazi ya kutupeleka miangaikoni lakini asilimia kubwa ya abiria bado Hawaoni thamani ya Konda.. Kwa siku moja pekee Konda anazozana na abiria wasiopungua 50, sasa Kuna kutoboa hapo kweli..?
Wenyeviti wa serikali za Mtaa
Hawa nao kutoboa huwa ni ngumu sana, hawana tofauti na mtu anayefanya Intern kwenye taasisi fulani.. fikiria unaamshwa saa kumi usiku kwa kazi ambayo mwisho mwa mwezi haupati kitu😂😂
Wauza Maduka ya Tabata na Sinza.. Hawa nao kutoboa kwao kupo mbaliii.. Unakuta duka limepambwa kama Sebureni sasa nani aingie kununua humo😂
Labor wa viwandani
Hawa nao kutoboa ni mtihani.. Pale Tabata Azam kwenye kiwanda cha Nida labor wanalipwa elfu5 kwa siku, wanakata chakula buku inabaki elfu4 na watu wanajaa kuomba kazi hadi wengine wanarudishwa nyumbani.. Halafu Kuna tahira huko linasifia CCM inaumiza sana..
Tuendelee kujituma na Kumwamini Mungu.. Yote yanawezekana..
