Wapendwa wa Jamii Forums, naomba mnifahamishe kama wale waliomba nafasi za kazi za kufundisha UDOM yaani kazi za TUTORIAL ASSISTANTS,
LECTURERS, ASSOCIATE PROFESSORS NA PROFESSORS, je, wameishaitwa kwenye usaili au bado maana muda ni mrefu. Kazi zilitangazwa mwezi wa
Mei, 2011 na wakati wale waliomba mwezi wa Agosti tayari wameishaitwa kwenda kwenye usaili. Nauliza maana ninafatilia lakini sijaona tangazo la kuwaita na wakipigiwa simu majibu hayaeleweki mara wasiliana na watu wa HR wakati namba
zao za simu hazijulikani.
LECTURERS, ASSOCIATE PROFESSORS NA PROFESSORS, je, wameishaitwa kwenye usaili au bado maana muda ni mrefu. Kazi zilitangazwa mwezi wa
Mei, 2011 na wakati wale waliomba mwezi wa Agosti tayari wameishaitwa kwenda kwenye usaili. Nauliza maana ninafatilia lakini sijaona tangazo la kuwaita na wakipigiwa simu majibu hayaeleweki mara wasiliana na watu wa HR wakati namba
zao za simu hazijulikani.