Mkuu naomba kufahamu kama majina ya waliofaulu kwenda hatua inayofuata kama yameshatoka ngazi ya assistant accountantYanawashusha kwenye ofisi zao zipo town kabisa. Na ata ikiwashusha stand inatoa dalaladala ya kuwafikisha town.
Sijajua mkuu maana sipo huko. Ila dogo amepiga oral interview ya procurement jana. Na wameanza toka juzi, hebu fuatilia. Majina wamebandika pale ofisini kwao tanesco ya tanga.Mkuu naomba kufahamu kama majina ya waliofaulu kwenda hatua inayofuata kama yameshatoka ngazi ya assistant accountant
Mimi sipo huko pia asee! Nilikua nahitaji tu kuona majina kama lipo, au waliwapigia simu waliopita?Sijajua mkuu maana sipo huko. Ila dogo amepiga oral interview ya procurement jana. Na wameanza toka juzi, hebu fuatilia. Majina wamebandika pale ofisini kwao tanesco ya tanga.
Walibandika/wamebandika ofisini
Mkuu na mm naomba mniforwadie majina ya CUSTOMER RELATIONS OFFICER nliambiwa tar 26 June sijui nilisikia vzr mana kwa simu 26 na 29 zinachanganya.Mkuu nifowadie na mm whatsapp 0753580627