Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Mkoa wa TangaOfisi za Tanesco mkoa gani mkuu
Mkoa wa TangaOfisi za Tanesco mkoa gani mkuu
mkuu kama unayo ya assistant accounts yatumeNina ya store wait nayapaki
Na ratiba ya USAILI MZIMA ni hiyo.
Oy dicloppa hujapata ya maderevaMwenye short list ya madereva aweke humu wakuu
Daaah kaka nimejaribu kuifungua lkn waaapi haifunguki....sijui unaweza ukanitumia whatsapp ndugu 0715064164
Kuna Document nime attach hapo mkuu ipitie ina ratiba ya usaili mzima utakapofanyika hadi venue hadi muda,Unayumba boss jaribu kupitia huu uzi.Sure me nilipokea simu yao leo jionii na nikaambiwa hvyo but nilikuwa kwa daladala ila kuna shule ya msingi kaitaja sikumpata vizurii inaitwajee.
Niliombaga nafasi ya udereva
Mwanyololosya ebu pakua hiyo docs ya kati hapo.Nina ya store wait nayapaki
Na ratiba ya USAILI MZIMA ni hiyo.
Kuna Document nime attach hapo mkuu ipitie ina ratiba ya usaili mzima utakapofanyika hadi venue hadi muda,Unayumba boss jaribu kupitia huu uzi.
Malazi mkuu sio maradhi anyway watakujibu.Kingine wakuu naomba niulize mimi sijawai fika tanga vp kuhusu upande wa maradhi nyumba za kulala wageni bei zao zipoje wakuu msaada tafadhali
Malazi mkuu sio maradhi anyway watakujibu.
Habari yako mkuu...vipi zile nafasi mlizotangaza southern zone bado tu hamjaanza ita watu kwenye interviewNdugu mpendwa mteja wetu, Tafadhali tambua kuwa zipo taratibu za kuita waliokidhi vigezo na kuwajulisha wahusika hivyo muda muafaka waliokidhi vigezo watakulisha kwa hatua zifuatazo
Mmeambiwa mnafanya interview sehemu gani ili nikuełekeze lodge ya karibu na rahişi za elfu 15Kingine wakuu naomba niulize mimi sijawai fika tanga vp kuhusu upande wa maradhi nyumba za kulala wageni bei zao zipoje wakuu msaada tafadhali
kuna kila.aina ya sehem za kulala inategemea na bajet yako guest mpka 7000 unapata maeneo mengi tu.Kingine wakuu naomba niulize mimi sijawai fika tanga vp kuhusu upande wa maradhi nyumba za kulala wageni bei zao zipoje wakuu msaada tafadhali
Maladhi tanga kuna lodge nzuri na salama kwa elfu 12 tuu apo center. Na bodaboda nauli haizidi buku jero mpaka eneo la tukio. Usafiri wa dalaladala upo pia japo kwa mgeni tumia bodaboda.Kingine wakuu naomba niulize mimi sijawai fika tanga vp kuhusu upande wa maradhi nyumba za kulala wageni bei zao zipoje wakuu msaada tafadhali
Binafsi Sijawah kufika Tanga nimeitwa kwenye usaili mkwakwani secondary kesho kutwa 19.06.2019 naombeni mnielekeze namna ya kufika eneo la tukio natokea Dar es salaam