Habari wadau. Hivi hakuna update zozote kama tanesco wameita watu kwenye interview zile kazi za miez 12huko Northern zone?.
Sawa mkuu nimeona excel ya walikuwa shortlisted na washaanza pigiwa simu. Interview inafanyika tarehe 19 tanga.Soon mambo yatakwiva mkuu!! For more details kuna pdf ningeweza share humu sema imegoma kuattach kuhusiana na majina yaliyokuwa shortlisted kwa interview!!!
Mkuu niione iyo pdf au excelSawa mkuu nimeona excel ya walikuwa shortlisted na washaanza pigiwa simu. Interview inafanyika tarehe 19 tanga.
Poa mkuu all the best .Sawa mkuu nimeona excel ya walikuwa shortlisted na washaanza pigiwa simu. Interview inafanyika tarehe 19 tanga.
Jana nmepita maeneo ya ofisi za tanesco nmeona makaratas mengi sana yamebandikwa watu wanaangaliaHabari wadau. Hivi hakuna update zozote kama tanesco wameita watu kwenye interview zile kazi za miez 12huko Northern zone?.
Ofisi za Tanesco mkoa gani mkuuJana nmepita maeneo ya ofisi za tanesco nmeona makaratas mengi sana yamebandikwa watu wanaangalia
Ndugu mpendwa mteja wetu, Tafadhali tambua kuwa zipo taratibu za kuita waliokidhi vigezo na kuwajulisha wahusika hivyo muda muafaka waliokidhi vigezo watakulisha kwa hatua zifuatazoHabari wadau. Hivi hakuna update zozote kama tanesco wameita watu kwenye interview zile kazi za miez 12huko Northern zone?.
Daaah kaka nimejaribu kuifungua lkn waaapi haifunguki....sijui unaweza ukanitumia whatsapp ndugu 0715064164Hiyo ya procurement...View attachment 1127848
Wakuu kuna Mwenye PDF ya madereva ambao wamekuwa shortlisted for interview Tanesco ?