De Caprion
Member
- Sep 24, 2012
- 10
- 0
Wadau kazi za TANAPA vipi?, maana kuna walioitwa kwenye Interview Mwezi wa Nane, sasa kuna post nyingine tena walitangaza, kibao, na sasa zinaonyesha Closed Vaccancies kwenye website yao, Vipi walishaitwa kwenye interview, maana na mimi niliapply kazi pale. duh, Bado au ndo imekula kwangu?