Kazi za Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA

Kazi ya kubwa ya Mwenyekiti wa Bavicha John Heche, ni kufoka hovyo.

Taingia achaguliwe kaishatoka matamko zaidi ya 50 yasiokuwa na tija kwa taifa.
Kingine ni jaribuni kumshauri sio kila siku lazima avae Magwanda ya CDM

likanjanja la Jf
 
Hivi CDM Taifa wameishamtafutia Mwenyekiti wa Bavicha, Heche, nyumba ya kuishi mpaka saizi ni aibu kuendelea kukaa kwa kaka yake pale Sinza Mori

Kama unasikia uchungu kwa yeye kukaa kwa kaka yake, ulitaka akae kwako? lazima ujue maana ya mtu kuwa kaka. Hiyo ndiyo desturi yetu, kwa kaka yako ni sawa na kwako. Hayo mambo yenu fanyianenoi wenyewe huko huko na kutiliana sumu na kurogana ndo maana hamuwezi kukaa kwa kaka zenu.
 
Kazi ya kubwa ya Mwenyekiti wa Bavicha John Heche, ni kufoka hovyo.

Taingia achaguliwe kaishatoka matamko zaidi ya 50 yasiokuwa na tija kwa taifa.
Kingine ni jaribuni kumshauri sio kila siku lazima avae Magwanda ya CDM

wewe mtu wa magamba kwanini usishauri mgogoro wa Uvccm ukaisha?
 
jana nimemuona Benno Malisa akishiriki kufunga matawi ya ccm Arusha , Lakini Tangia uchaguzi uishe wa BAVICHA sijawahi kumuona John Heche akishiriki kwenye shughuli yeyote ya ujenzi wa chama zaidi ya kulionya jeshi la polisi na kutoa mattamko kwenye press conference , je kazi za mwenyekiti ni hizo tu au zipo na nyingine? au kazi ni kushiriki maandamano tu?

Brother rudi ukajipange. Waambie urudi kule wanakofundishwa wakakukomaze somo la kujenga hoja hata katika kupropagate. Kama unafikiri kazi ya Mwenyekiti kama Heche ni kufungua matawi, basi yeye alianza kuifanya tangu hajawa mwenyekiti, akiwa pale SAUT. Akiwa akina kamanda Kamka...Kaulize pale. Lakini pia mapema tu baada ya uchaguzi ule na Kamanda Heche kuteuliwa alienda kufanya kazi ya chama Arusha, kabla na baada ya kutimuliwa madiwani wale. Mikutano mikubwa pale kapiga, achilia mbali matawi. Yeye ndiye aliyeongoza timu ya kwanza kabisa kwenda Igunga na tukaweka hapa Operesheni Chukua Igunga (OIC), baadae tukabidili kidogo na kuiita Operesheni Komboa Igunga (OKI). Siku 12 za kazi nzito kueneza chama Igunga yote, vitongojini, vijijini, katani na tarafani, akifungua matawi na kupiga mzigo wa kupata wanachama na wafuasi, zilipokelewa baadae na akina Kamanda Waitara (utafiti) na Kamanda Benson (msimamizi wa uchaguzi). Kazi alizofanya Heche, ikiwemo kutoa matamko ndani ya miezi mitatu au minne ya uenyekiti wake, huwezi kuifananisha in anyway na mwenyekiti yeyote mwingine wa chama, achilia mbali mwenyekiti wa vijana, ukiondoa vyama vitatu vya CCM, CHADEMA, CUF.
 
jana nimemuona Benno Malisa akishiriki kufunga matawi ya ccm Arusha , Lakini Tangia uchaguzi uishe wa BAVICHA sijawahi kumuona John Heche akishiriki kwenye shughuli yeyote ya ujenzi wa chama zaidi ya kulionya jeshi la polisi na kutoa mattamko kwenye press conference , je kazi za mwenyekiti ni hizo tu au zipo na nyingine? au kazi ni kushiriki maandamano tu?



We chiefmasanja ndugu yangu hujui uyasemayo au Malisa kakulipa ili umwandike humu jamvini kuwa kafungua matawi Jembe Heche anapiga kazi kama kawa sasa yupo Tarime anafanya mikutano Emu angalia moja ya mikutano yake huko Nyamongo Tarime Jumatatu oct 10 Then rejea maelezo yako
 
Back
Top Bottom