Mate hayakuui unavumilia kijanaWatu ni wavumilivu na wapo loyal na malengo yao, Mimi hapo huyo mzee ingekuwa parapanda ishalia kitambo tu.
HahahahahaHapo ni kuangalia mpunga hivyo vitimbi vya wazee unavipotezea japo inahitaji uvumilivu kiwango cha SGR maana bila hivyo unaweza kukuta mikono imeunganishwa kwa chuma kigumu huku unaingizwa kwenye gari yenye taa juu zinazolia
Tena km vp unayalamba km denda kuonesha uko kikazi zaidiMate hayakuui unavumilia kijana
Hapo mimi nakuacha hatusafiri meli moja 😂😂 wewe sio mtu mzuriTena km vp unayalamba km denda kuonesha uko kikazi zaidi
It's all about believe