ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
SERIKALI wilayani Morogoro kupitia Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imelazimika kuwazika marehemu 52 wasio na ndugu kwenye makaburi ya Kola katika kipindi cha mwaka 2022/23.
Taarifa hiyo imetolewa na Meya wa Manispaa hiyo, Pascal Kihanga katika mkutano wa kawaida wa mwaka wa Baraza la Madiwani wa halmashauri manispaa hiyo.
Kihanga amesema watu wasiokuwa na ndugu wanapokufa na kukaa hospitalini zaidi ya siku 20 halmashauri za jiji au manispaa huwazika.
Kihanga amesema kuwa kati ya mili hiyo wapo wanaume 40, wanawake 11 a fuvu la kichwa lililookotwa Machi 21 mwaka huu katika Kata ya Bigwa na lilizikwa Aprili mwaka huu.
Chanzo: Nipashe
===
Jamani Mkiondoka muwe mnaaga.
Taarifa hiyo imetolewa na Meya wa Manispaa hiyo, Pascal Kihanga katika mkutano wa kawaida wa mwaka wa Baraza la Madiwani wa halmashauri manispaa hiyo.
Kihanga amesema watu wasiokuwa na ndugu wanapokufa na kukaa hospitalini zaidi ya siku 20 halmashauri za jiji au manispaa huwazika.
Kihanga amesema kuwa kati ya mili hiyo wapo wanaume 40, wanawake 11 a fuvu la kichwa lililookotwa Machi 21 mwaka huu katika Kata ya Bigwa na lilizikwa Aprili mwaka huu.
Chanzo: Nipashe
===
Jamani Mkiondoka muwe mnaaga.