Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,600
Mimi ni kijana Mtanzania na ni memba wa JF kwa takriban miezi 18, kazi ya kuwa moderator nimetokea kuipenda sana. Yeyote mwenye kujua jinsi gani naweza apply au nitajuaje kama iko vacant anipe jibu.
Na ikitokea nikaipata hii kazi basi watu watafurahi sana kwa sababu nitafanya mabadiliko ya kweli, naombeni mnielekeze chochote nachoweza kufanya ili niipate hii kazi.
Vipi ina mshahara? Isije nikawa nashindwa kula! Kisa nafanya kazi ya Mod-JF.
Na ikitokea nikaipata hii kazi basi watu watafurahi sana kwa sababu nitafanya mabadiliko ya kweli, naombeni mnielekeze chochote nachoweza kufanya ili niipate hii kazi.
Vipi ina mshahara? Isije nikawa nashindwa kula! Kisa nafanya kazi ya Mod-JF.