Deeboyfrexh
Mimi sio mtaalamu wa lugha na pengine watu watakuja hapa na kunisahihisha lakini ifuatayo ni jitihada yangu kukupa tafsiri ya hizo terminologies unazotaka kuzitumia.
Tupilia mbali chochote kile kisichokufaa -
I won't be offended.
1.Market and Margin Related issues ......................Masuala yanayohusu masoko na tijara
2.Competitive advantage ......................................Unafuu (ubora) wako katika ushindani
3.Gross margin ...................................................Tijara jumla
4.Barriers to entry ...............................................Vikwazo vya kujiunga
5.Proprietary advantage .......................................Unafuu (au uzuri) wa umiliki
6.Lead time advantage .........................................Uzuri (ubora) wa kudamka
7.Service chain ....................................................Mfumo (mtiririko) wa huduma
8.Timing .............................................................Uwahishaji muafaka
9.Overall Potential ...............................................Jumla ya uwezo
10.Fixed and variable costs ...................................Gharama za awali na badilishi