Kazi ya Kuajiriwa

Kazi ya Kuajiriwa

inategemea na namna ulivyojiandaa na kujiajiri mwenyewe. Muda wowote ni muafaka lakini nadhani ni kufanya mapema zaidi kutoka katika utumwa huo wa kuajiriwa.
 
inategemea na namna ulivyojiandaa na kujiajiri mwenyewe. Muda wowote ni muafaka lakini nadhani ni kufanya mapema zaidi kutoka katika utumwa huo wa kuajiriwa.


Vizuri mkuu.
 
nahisi muda wowote kuanzia sasa kama umejiandaa vya kutosha waweza jiajiri kwani kuajiriwa ni utumwa na haukupi muda wa kujiandaa mwenyewe kiuzeeni
 
jiulize unataka kuacha kazi za kuajiriwa ufanye nin?

ukishapata jibu la swali hilo. anza kuwekeza huko mambo yakiwa vizuri kidogo unaweza ukaacha kazi.

usije ukaacha kazi alafu ukute hujajipanga
 
jiulize unataka kuacha kazi za kuajiriwa ufanye nin?

ukishapata jibu la swali hilo. anza kuwekeza huko mambo yakiwa vizuri kidogo unaweza ukaacha kazi.

usije ukaacha kazi alafu ukute hujajipanga


Nataka niache kazi nikafungue ya kwangu mkuu.

Lakini siwezi kufungua yangu bila kuacha hii ninayoifanya
 
Utaacha kazi ya kuajiriwa pale tu utakapoona maslahi unayopata ni madogo na hayalingani na unayopata kwenye shughuli au vitega uchumi vyako binafsi.
 
Nataka niache kazi nikafungue ya kwangu mkuu.

Lakini siwezi kufungua yangu bila kuacha hii ninayoifanya
Huyo aliyekushauri uache kazi kabla ya kuhakikisha uthabiti wa hiyo ajira yako binafsi, hakutakii mema. Jaribu utarudi hapa hapa ukiomba hata hela ya nauli ya daladala.
 
Huyo aliyekushauri uache kazi kabla ya kuhakikisha uthabiti wa hiyo ajira yako binafsi, hakutakii mema. Jaribu utarudi hapa hapa ukiomba hata hela ya nauli ya daladala.


Kwa maana hio niendelee kufanya bila kuwa na matarajio ya kuwa na yangu?
 
Back
Top Bottom