Habari za mchana?samahani nimeona tangazo kupitia page ya sekreteriati ya ajira on behalf of mzumbe university wametangaza nafasi mbali mbali miongoni mwa post iliyonigusa mimi ni janitor ii naomba kuuliza maswali mawili;
1.kazi kubwa ya janitor ii ipi mana wengine wanasema ni wafanya usafi wa chuo
2.mshahara wa pgss 4.1 ni sh ngapi? Natanguliza shukrani.
1.kazi kubwa ya janitor ii ipi mana wengine wanasema ni wafanya usafi wa chuo
2.mshahara wa pgss 4.1 ni sh ngapi? Natanguliza shukrani.