Kazi tff

Mchaga

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
1,378
204
Tanzania Footbal Federation wametangaza nafasi 2 za kazi leo(General Secretary na Information Officer) katika Guardian ya leo tarehe 21...anayeweza kuscan asaidie, unaomba kupitia kampuni ya ajira ya EMARON UBUNGO PLAZA

All the best watakaojaribu watuondoe na aibu ya kutokupigwa wimbo wa taifa...
 
Back
Top Bottom