Kazi Supermarket

Kazi Supermarket

Marsy

Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
47
Reaction score
7
Wakuu kuna nafasi za kazi nimeona za Uchumi Supermarket ila wanadai wanapatikana Quality, Mlimani na Mayfair, mwenye idea na hili anijuze wakuu mana nahofia yaweza kuwa changa la macho coz ukipiga simu wanasema interview ilikuwa leo but nikawaone pale Mliman City. Kuna yeyoye ana jua kuhusu kazi hizo?
 
Hawa jamaa niwahuni tu, mm nimeenda mpaka uchumi, wamesema wao hawatumii mawakala wa ajira, ukitaka kuomba kazi pale unapeleka cv zako palepale wanazipokea
 
Hawa jamaa niwahuni tu,
mm nimeenda mpaka uchumi, wamesema wao hawatumii mawakala wa ajira,
ukitaka kuomba kazi pale unapeleka cv zako palepale wanazipokea

Thanks alot mkuu,wanapatikana wapi hao uchumi??msaada plz...
 
Nenda uchumi quality center pale
mtava, peleka cv yako reception wanazipokea bila tatizo lolote.
 
Vigezo wavyozingatia ni vipi? Msaada jamani na mimi, mimi nimesoma logistics and transport management,wanaweza kunichukua?
 
Back
Top Bottom