Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Mara nyingi sana nikiwaga Namuangalia Lissu, the way anavyojengaga Hoja, the way anavyopanguaga Hoja, hasa hasa zile Hoja za kutungwa na watu wenye Roho za Kishetani, sina haja ya Kuwataja, Mnawafahamu nina Uhakika,the way anavyojielezea Mbele za Watu na Mbele ya Kadamnasi kwa Ujumla.
Na Pia, Kila nikiangalia Kazi za Mikono ya na Kichwa cha Lissu, Matokeo yake yanadhihirisha Huyu Kamanda ametumwa na Mungu.
Kama nikiorodhesha Kazi alizo zifanya Lissu, Nadhani the list will be endless, the list will be infinite.

Ila Hawataubadilisha ukweli ulio wazi kuwa, Tundu Antipasi M Lissu ni Alama ya Uwepo wa MUNGU CHADEMA , Tanzania na Duniani kwa Ujumla

=================================
Hili la Dodoma linazidi kunifanya niamini kuwa Lissu ni Zaid ya Nabii kwa wa Tanzania

=================================

Ushahidi zaidi.
=======================

Kwa yanayojiri Dodoma kwa wale tunaofuatilia Bunge Maalum la Katiba bila kuweka ushabiki na unazi wa Kichama.
Huyu Jamaa ni Nguli na Gwiji Kabisa katika tasnia ya Sheria, ameonesha kuzielewa,kuzi mastaer na kuweza kuzi tafsiri vyema kabisa kanuni za uendehsaji wa Bunge la katiba based on Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
Lissu ameendelea kuwafumbua macho watu wengi waliokuwa wanashadadia kwenye kupitisha vifungu vya Kipuuzi kabisa kwenye Sheria ya Mabadiliko ya Katba bila kujua Madhara yake kwenye utekelezaji wake.
Tunaona sasa ni jinsi gani Kanuni zenye afya kabisa zinashindwa kuwa accomodated kwenye kanuni za uendeshaji wa Bunge la Katiba kwa kuji contradict na Sheria Mama ya Mabadiliko ya Katiba.
Mungu Mbariki tundu Lissu.
============================

Ushuhuda wa Dhahiri.

Leo tumeona Gamba moja wapo Sugu kabisa Ole Sendeka liki mu appreciate Mh Lissu na kumuomba Rais JK amteue Mh Lissu kuwa waziri wa Sheria...
Hii ina Maana kuwa wote waliowahi kushika wadhifa wa uwaziri wa Sheria including Mama yetu yule anayesemekana ku Prove failure UN kuwa si lolote si chochote mbele ya Mh Lissu.

Na Bado
=============================

1. Msomi wa Shahada ya Uzamili ya Sheria

2. Wakili Msomi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na nyinginezo isipokuwa Mahakama ya Mwanzo

3. Mwanasiasa kijana machachari na Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA

4. Mjenzi mzuri wa hoja kwa kutumia takwimu,maandiko,taarifa rasmi na ushahidi uliosheheni ukweli

5. Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA

6. Mwanasiasa mwenye aina ya pekee ya uzungumzaji na mshawishi kwelikweli

7. Mwanasiasa jasiri,mkweli na anayeakisi aina ya viongozi na Wabunge waliopo CHADEMA

8. Msemakweli wa Taifa hili na hazina ya kimawazo tuliyonayo kama nchi

9. Mwanasiasa anayeendana na wakati na mazingira yaliyopo katika kujenga hoja zake

10. Mfano wa kuigwa...........no research,no right to speak

Na huyo ndiye Wakili Msomi na Mbunge/Mjumbe Tundu A.M.Lissu!

Waone Pasco, Zogwale, MTAZAMO, Mimibaba Mchambuzi, Mzee Mwanakijiji, Invisible Mungi Arushaone mwanampotevu , bila kuwahasu wanazi wa ACT (Allience for Cowards and tratitors) betlehem , Dotto C. Rangimoto , Boko harama na wale wa Buku 7 FC Wakiongozwa na Ritz

=========================
Jana katika Bunge Maalum la Katiba imedhidi kudhihirika ni kwa namna gani huyu jamaa ni Tunu kwa taifa letu.
 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Mara nyingi sana nikiwaga Namuangalia Lissu, the way anavyojengaga Hoja, the way anavyopanguaga Hoja, hasa hasa zile Hoja za kutungwa na watu wenye Roho za Kishetani, sina haja ya Kuwataja, Mnawafahamu nina Uhakika,the way anavyojielezea Mbele za Watu na Mbele ya Kadamnasi kwa Ujumla.
Na Pia, Kila nikiangalia Kazi za Mikono ya na Kichwa cha Lissu, Matokeo yake yanadhihirisha Huyu Kamanda ametumwa na Mungu.
Kama nikiorodhesha Kazi alizo zifanya Lissu, Nadhani the list will be endless, the list will be infinite.

Sina Mengi, Najua kuwa wale Buku 7, Lumumbar Project, Wakiongozwa na Senior Lumumba Buku 7 Project, Ritz , watakuja na Povu, Mkia Juu
Katika Kutaka Ku Justify kwa Ma Boss wao jinsi Cash advance (One Month) walizoepewa tayari vile Zinafanya Kazi.


Ila Hawataubadilisha ukweli ulio wazi kuwa, Tundu Antipasi M Lissu ni Alama ya Uwepo wa MUNGU CHADEMA , Tanzania na Duniani kwa Ujumla

Nashauri ufanyie editing heading na hayo maneno kwenye red - kutumwa na Mungu sio kuwa alama ya uwepo wa Mungu. Kama CHADEMA inamtegemea Mungu hata akiondoka Tundu Lissu bado CHADEMA itaendelea kumtegemea Mungu. Kwa kifupi hayo maneno 'are theologically unsound'.
 
Chama kilicho letwa na mungu chenye kiongozi alie msaliti mungu. Hii ni kali.

Mkuu majebere karibu kwenye chama cha ukombozi wa kweli Tanzania

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Bramo, iwe pia nawe,
Nakubaliana kuwa Lissu ameletwa na Mungu ili kuhakikisha haki inatendeka kwa waja wa MwenyeziMungu Insha Allah!!,
Kesi zote alizosimamia Kamanda Lissu haki imeonekana kutendeka,
Abarikiwe sana.
 
Very True.
Ni hakika huyu Tundu Lissu ana kipawa fulani maalum kwa watanzania. Kiukweli Tundu Lissu anaipenda sana Tanzania, na alikuwa anaumia sana kuona watanzania wakinyonywa na kunyanyaswa kwenye nchi yao.

Mara ya kwanza nilimuona na kumfahamu Tundu Lissu 2002 kwenye mjadala fulani kuhusu madini, nilifurahi sana na kum-Admire namna alivyokuwa makini na mahiri. Niliwaambia watu niliokuwa nao pale kuwa huyu jamaa atafika mbali sana na kila mtu katika nchi hii atakuja kumfahamu na kumkubali.

Hongera sana Tundu Lissu, millions of Tanzanians are supporting you.
 
Uwezo wa akili wa wanachadema ni mdogo sana hata lisu nae mnathubutu kumuita alama ya uwepo wa Mungu...ka
 
Uwezo wa akili wa wanachadema ni mdogo sana hata lisu nae mnathubutu kumuita alama ya uwepo wa Mungu...ka

Mimi ni mwanachadema ila Kwa hoja hii ilivyokaa nakubaliana na wewe. Nawashangaa sana wanaompongeza bcoz kumwita ni alama ya uwepo wa Mungu it is blasphemy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom