Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
<br />Wenje kwanza Mwanza hatakiwi tena hichi ndio kipindi chake cha mwisho!<br />
Kawadanganya wafanyabiashara wadogo (Machinga) pale Mwanza wakati wa kampeni eti mkinichagua mtaendelea kufanya biashara zenu maeneo ya Makoroboi, Lumumba, Libert, Pamba, Nkuruma, Bantu, Nyerere, Uhuru, leo hii CDM Mwanza wamepata Mbunge na Meya, wamewafukuza wafanyabiashara dongodogo (Machinga) wote kwenye maeneo nilioyataja.<br />
Kweli Kazi nzuri Ezekia Wenje
<br />
acha uongo wewe!