Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Kwanza kauli hii ni kwa niaba ya sisi vijana 20, najua wapo wengine pia.....
Napenda kukupongeza kwa juhudi yako wewe pamoja na wabunge wengine kwa kuipigania haki yetu watu wa hali duni, tunautambua na tunaiona michango yenu wabunge wetu, napenda kuwatia moyo na tunawaambia kuwa tupo nyuma yenu, msiogope, kazi ya ukombozi sio ndogo endeleeni nasi tupo nyuma yenu no matter what!
I thought ungetwambia kafanya nini?
au kapigani vipi hizo haki za watu duni?