Kazi Nje Ya Nchi

Kazi Nje Ya Nchi

Mmmh japo naelewa kwa mbali kingereza. Hapa sijaambulia kitu
Tafsiri ni hii
Utumwa uko hapa hapa Tanzania .Hasa kwa wafanyakazi wa nyumbani(wakiume na wakike) Mara mbili
 
Nikweli Ila sheria za Saudi Arabia ndio tatizo kamanda
currently wanajaribu kwenda sawa na kasi ya maendeleo,ndio maana wameanza ku-outsource manpower kutoka nchi nyngne,so hawana namna ya kuwabana sana sababu wanakutumia mkataba unausoma kwanza,ukiridhika ndio unaenda,so u'll live your contract
 
I am interested mkuu, nina diploma ya electrical engineering, nina passport je vp naweza kupata kazi huko,
 
inamaana kweli huko sudan saudi arabia hakuna mafundi mpka wawatafute watanzania inamaana hizo nchi hakuna wakulea watoto mpka waende watanzania .lazima tujiulize kiundani licha ya tatizo la ajira
 
Kuna picha ilishawai kupostiwa mitandaoni nafikiri yule binti alikuwa mkenya alichinjwa airport live bila chenga kiukweli iliniuma sana kwa nin watufanyie ukatili kiasi hichi tisa kumi Saudi Arabia ndo kubaya sana bora ata oman
 
inamaana kweli huko sudan saudi arabia hakuna mafundi mpka wawatafute watanzania inamaana hizo nchi hakuna wakulea watoto mpka waende watanzania .lazima tujiulize kiundani licha ya tatizo la ajira
Ndo hapo sasa mim mwenyewe nashangaa inamana huko kwao hakuna maskini wa kufanya izo kazi za kulea watoto au wanataka kwenda kututoa kafara watu weusi mimi kama kuna ndugu yangu anaenda sitokubali kabisa waharabu ni mamafia sana.
 
Mjomba ni lazma uwe mtanzania au na raia wa kigen ambao ana passport unawez kumsaidia????????
 
Ipi ya kweli hapa hiyo ya blue namba zao moja haipatikan moja haiiti nyingine sim imeachwa nyumban hiyo ingine hawana taarifa hizo za kazi sasa sijaelewa uhusiano upo vipi hapoView attachment 820913
Screenshot_20180728-103831.jpg
 
Back
Top Bottom