mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Ni kweli kauli mbiu ya Kazi na Bata imekuwa mwiba wa koo kwa CCM
Lumumba kuna waka Moto barua za kuwaita wale Wazee zimekwama, Makamba kasema amechoka wamwite Mzee wa Kazi na Bata hashikiki huku comred akiwa anapiga jalamba msituni
Hakika Bashiru na yule mnunua binadamu viti havikaliki wakiangalia ule ujambazi wa serikali za mitaa waliofanya huku wananchi wakiwasusia huku Mzee wa Kazi na Bata anapasua ngome , hali ni mbaya Lumumba kuliko tujuavyo
CC Mzee tupa tupa
Lumumba kuna waka Moto barua za kuwaita wale Wazee zimekwama, Makamba kasema amechoka wamwite Mzee wa Kazi na Bata hashikiki huku comred akiwa anapiga jalamba msituni
Hakika Bashiru na yule mnunua binadamu viti havikaliki wakiangalia ule ujambazi wa serikali za mitaa waliofanya huku wananchi wakiwasusia huku Mzee wa Kazi na Bata anapasua ngome , hali ni mbaya Lumumba kuliko tujuavyo
CC Mzee tupa tupa