Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jamaa mmoja wakati akijiandaa kutoka out pamoja na mkewe na mwanawe.Mke mbele,mtoto kati na baba nyuma,mara mtoto akamtonya baba yake,'baba,umeiona inye ndembe ndembe?'.Baba akauliza,iko wapi?.Mtoto akamjibu huku akinyooshea mkono kwa makalio ya mamake,akasema,'ile pale kwa sauti ya chini'.Baba mtoto ambaye ni mfanyakazi mwenzangu akabaki midomo wazi.Ungekuwa wewe ndo huyo Baba ungechukua uamuzi gani?