Kazi kwenu walimu.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mwalimu mmoja wa tuition alipewa jukumu la kumfundisha hesabu mtoto aliyeshindikana kwa usahaulifu.Mwalimu kaanza somo kama ifuatavyo;4+5=9,sawa mikogo?Mikogo kajibu sawa mwalimu,mwalimu akarudia kama mara tano ili mikogo asisahau.Siku iliyofuata mwalimu akarudia swali lile lile;mikogo,5+4=?,mikogo kwa mshangao mkubwa akamkana mwalimu akidai kwamba hakuwahi kufundishwa hesabu ya 5+4 ila ya 4+5 jibu analijua ni kitu kama 6 hivi!
 
alau kakumbuka kuwa namba zilikuwa reverse na jawabu kureverse. kwa hio mwalimu aongeze juhudi kidogo mambo yatakaa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…