Mwaka huu lazima kieleweke maana wenye nchi wamewekeza kila kona hadi kwenye buti, yaani ni hatoki mtu.......hii ni daliili tosha kuwa wanahaha wakitafuta kila njia kujiweka pazuri...kazi ipo..
Kifo uwa kina kuja na dalili nyingi sana na muhusika huanza kuzihisi na matokeo yake upandwa na hofu kubwa ambayo umpelekea kufikwa na umauti...R.I.P (CCM)marehemu mtarajiwa
Mwaka huu lazima kieleweke maana wenye nchi wamewekeza kila kona hadi kwenye buti, yaani ni hatoki mtu.......hii ni daliili tosha kuwa wanahaha wakitafuta kila njia kujiweka pazuri...kazi ipo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.