babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,962
- 20,291
Hii vita ni mbaya sana,mtu wa kwanza Mpalestine kumlaani awe Kikundi cha Hamas na ndio wataokoka otherwise watafutika,sababu huko Palestine. Magaidi wanavyotafsiriwa na Israel ni wanaume wote wenye umri wa mtu mzima.
Inasikitisha jana nimeona jamaa kawasogelea kidogo tu Israel wakachapa risasi alipofurukuta wakamalizia.ukiwauliza wana sababu. Wamedai inawezekana alibeba bomu la kujilipua.
Inasikitisha jana nimeona jamaa kawasogelea kidogo tu Israel wakachapa risasi alipofurukuta wakamalizia.ukiwauliza wana sababu. Wamedai inawezekana alibeba bomu la kujilipua.