pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 52
- 122
Wakuu leo nimepita Tabata pale nimeona watu wapo nje kwenye kiwanda cha NIDA pale TOT kama veepe embu fatilieni mnaweza mkapata kazi 


Taratibu zake zipojendo mda wao wa kutoka ama kuingia viwandani. hamna anayesubiri kufanyiwa usaili pale, wote vibarua na wanajulikana.
kama mtu atahitaji kazi lazma afate process.