Vipi Panju amefikia rank gani ya u Freemason?
Tatizo la Subway wafanyakazi wao hawawapi lunch wanawaacha wakale kwa mama ntilie Panju arekebishe hilo tatizo... inasikitisha kuwaona wafanyakazi wa food chain nzuri wanakula cheap food ambazo si safe kwa afya.... Nadhani pnju analipa mshahara mdogo sana... atabadilisha wafanyakazi wengi sana akijiona anapata faida huku dhambi zake zikiongezeka
wewe braza ndio unamatatizo we hapa Jf Wanakuja watu intellectual kutafuta kazi sasa unapoweka tangazo weka kama mtu unaejielewa sio kazi kama unatafuta vibarua wa kubeba zege kwenye site yako unayojenga hebu kua serious kidogo thats why watu wanakukebehi cos hilo sio tangazo la kazi halikizi hata minimum vigezo vya tangazo la kazi, please hebu weka tangazo ambalo kidogo linajielewa.na linajielewa vizuri watu watakuelewa na watakushukuruUko na matatizo wewe!!!!.toka kwa hii thread na ujifunze kuheshimu binadamu.