Kazi Coca-Cola Jamani

kuna watu washapigiwa leo. alafu mbona nasikia interview ni tano, yani kuna tatu zinakuja

Mimi bado sija pigiwa. Kesho ndio siku ya mwisho kuvuka stage hii ngoja nione kama nita bahatika. Hao walio pigiwa leo wame ambiwaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…