JF Marketer
Member
- Jan 3, 2009
- 80
- 34
Anahitajika Kijana (Ke/Me) wa kuingiza taarifa kwenye Kompyuta. Awe anajua kutumia Kompyuta, awe na spidi ya kuridhisha katika kuandika, awe makini na nadhifu katika kazi.
Muombaji atakayefanikiwa atapewa vitendea kazi na atafanya kazi husika ndani ya ofisi kwa muda wa kawaida wa kazi i.e kuanzia saa 2:00 asubuhi mpaka saa 9:00 Jioni kwa kipindi kifupi cha Kibarua.
Mwenye sifa awasiliane na Al Haj Salehe Mob: 0753-749459
Malipo: MAELEWANO
Angalizo: Kazi hii inawezekana kwa muombaji ambaye ni mkazi wa Dar es Salaam.
UPDATES:
Nimearifiwa kuwa zoezi limekamilika kwa mafanikio. Tayari amepatikana mtu.
Muombaji atakayefanikiwa atapewa vitendea kazi na atafanya kazi husika ndani ya ofisi kwa muda wa kawaida wa kazi i.e kuanzia saa 2:00 asubuhi mpaka saa 9:00 Jioni kwa kipindi kifupi cha Kibarua.
Mwenye sifa awasiliane na Al Haj Salehe Mob: 0753-749459
Malipo: MAELEWANO
Angalizo: Kazi hii inawezekana kwa muombaji ambaye ni mkazi wa Dar es Salaam.
UPDATES:
Nimearifiwa kuwa zoezi limekamilika kwa mafanikio. Tayari amepatikana mtu.