Wewe Masoud we mwana usije mie mzazi wako ukaniachia majanga kwa kupotezwa na hii Timu ya WASIOJULIKANA...!!!
Ulichoki chora hapa ni matusi kabisa kwa Mwenyekiti Jiwe wa Chama hichi cha Mifisi. Unajua ulivoweka hizi alama za Bendera yao zina maana hii:
CCM siyo chama tena cha Wakulima na Wafanyakazi.
Nyundo iliyokuwa inawakilisha WAFANYAKAZI imeng'olewa kabisa kweye mpini wake na kuhamishiwa mpini mwingine nako ikageuzwa kichwa chini miguu juu( Badala ya kupiga kazi inabomoa kazi au kung'oa misumari).
Jembe linalowakilisha WAKULIMA ingawa liko kwenye mpini limegeuzwa nyuma mbele hivo hakuna KILIMO wala MKULIMA hapo.(Rejea sakata la Koro-show na kinachoendelea kwenye Pamba na Tumbaku huko kanda ya Ziwa.
Maneno: CHAMA CHA MAPINDUZI kwenye mkanda wa manjano hayapo tena kwa maana hiyo CCM ni kwishne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.