Nellyonjolo1
Senior Member
- Dec 2, 2012
- 120
- 39
Kuna tangazo kwa umma kwenye daily news, the guardian la 22 Feb kutoka TCRA, kuhusu maombi ya mwanaharakati Marie Shaba (0784-265315) yakuanzisha kituo cha Radio Kaya FM. Unakaribishwa kutoa maoni kama Wilaya ya Bagamoyo ina stahili kua na chombo hiki. Kama una swali wasiliana kwa namba husika hapo juu. Tuma maoni yako kabla ya tar 7 March kwa DG, TCRA, Box 474 Dsm au dg@tcra.go.tz.
Karibuni!
Karibuni!
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Kwa mujibu Wa Sheria na Kanuni zake, inawajibika kuuarifu umma kusudio la mtu kuanzisha huduma ya Mawasiliano nchini.
Wajibu huu ni kuupa umma fursa ya kusema kwa nini mhusika asipewe au apewe leseni ikiwa yapo mambo yanayomfanya mhsika kukosa sifa za kupewa leseni.
Angalia hapa kuona utaratibu mzima Wa maombi ya leseni http://www.tcra.go.tz/licensing/procedure_processes.php. Angalia namba 6 Na 7.