Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Wanabodi,
Mratibu wa Sensa Wilaya ya Kinondoni Ando Mwankunga, amesema watu wanaoishi katika kaya zaidi ya 243 wiliyani humo wamekataa kuhesabiwa.
Alisema watu zaidi ya 40 waligoma kuhesabiwa, na kuongeza kuwa kuongeza kuwa kata ya Msingani kaya 21 zimegoma, kata ya Makurumla ina kaya 95 wamegoma, kata ya Mbweni kuna kaya 15 wamegoma, kata ya Msasani kuna kaya 45 wamegoma.
SOURE; Mwananchi Septemba 4 2012
Mratibu wa Sensa Wilaya ya Kinondoni Ando Mwankunga, amesema watu wanaoishi katika kaya zaidi ya 243 wiliyani humo wamekataa kuhesabiwa.
Alisema watu zaidi ya 40 waligoma kuhesabiwa, na kuongeza kuwa kuongeza kuwa kata ya Msingani kaya 21 zimegoma, kata ya Makurumla ina kaya 95 wamegoma, kata ya Mbweni kuna kaya 15 wamegoma, kata ya Msasani kuna kaya 45 wamegoma.
SOURE; Mwananchi Septemba 4 2012