kwako wewe angewarudisha wale wanafunzi waliofanya fujo na kujenga msikiti ndanda ndiyo angekuwa waziri mzuri hata kama maendeleo ya elimu yakiwa duni tz?Nilimdharau tangu aliposhindwa kumfukuza "mkuu wa shule ya sekondari Ndada" kwa vitendo vyake vya kijinga na kufukuza wanafunzi 20 kwasababu eti wanaomba sehemu ya kufanya ibada? ..
Hana maana kabisa.
kwako wewe angewarudisha wale wanafunzi waliofanya fujo na kujenga msikiti ndanda ndiyo angekuwa waziri mzuri hata kama maendeleo ya elimu yakiwa duni tz?
GreatThinkers,
Shukuru Kawambwa ni kwa sasa ni waziri wa Elimu.
Matokeo ya form4 yaliyo tangazwa mwaka jana 2011, 11% ndio waliopata kati Div (1-3) waliobaki walikuwa Div 4 na Totally Failures.
Katika 11% ya waliofaulu, 9percent ni private na 2% ni Government.
Matokeo kama hayo pia 2012 pia tumeyaona. Je huyu anafanya nini hapo wizarani-Serikalini watoto wetu wanasoma kweli au wanatupiga changa la macho angali watoto wao wanasoma International School of Tanganyika?
Je migomo ya vyuo vikuu imeisha, St Kayumba wanapata mkopo sasa?
Si Mara ya kwanza-kabla ya kuhamishiwa wizara ya Elimu alikuwa wizara ya Miundombinu awamu hii hii ya nne-Moja ya madudu aliyofanya na kusimamia ni ujenzi wa barabara ya Kilwa-DSM pamoja na Mandela-DSM. Zote zilikuwa chini ya kiwango na baadaye alipohamishwa Magufuri alizikataa na kazi imebidi kurudiwa barabara yote ya Kilwa. Huyo ndiye Kawambwa.
Hapo awali JK alipoanza Urais Kawambwa huyu huyu alikuwa wizara ya mawasiliano lakini hasa aliwekwa ili dili za mkongo wa mawasiliano aweze kula dili kama ambavyo alishindwa ktk miradi ya Barabara na sasa anakomaa na ujenzi wa chuo kikuu kipya cha Afya.
Mimi kwa maoni yangu bila kumuonea mtu wivu wala nini
Kawambwa hafai