Kawaje wa Jalalani?

Kawaje wa Jalalani?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,296
Reaction score
96,557
Au anasikia baridi ndiyo katoka Jalalani!

20260409_174243.jpg
 
hakuna adhabu nzito na kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kama KUISHI MAISHA ya UCHAWA ya kujitoa akili/kujizima data ,kujitoa ufahamu na kuamua kuishi kwa kushikiwa akili .


yani prof kuwa=lucas mwashambwa

si unaona hata paskali anavyopata tabu kudumu katika SCRIPT kujitoa akili kuwa chawa...kuna wakati akili inagoma anakuwa paskali kuna wakati tena paskali anakuwa lucas mwashmbwa..
 
hakuna adhabu nzito na kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kama KUISHI MAISHA ya UCHAWA ya kujitoa akili/kujizima data ,kujitoa ufahamu na kuamua kuishi kwa kushikiwa akili .


yani prof kuwa=lucas mwashambwa

si unaona hata paskali anavyopata tabu kudumu katika SCRIPT kujitoa akili kuwa chawa...kuna wakati akili inagoma anakuwa paskali kuna wakati tena paskali anakuwa lucas mwashmbwa..
Uko sahihi mno. Ila tatizo la Tanzania sasa hivi ni kwamba uchawa wa kujitoa akili kwa sababu ya maslahi binafsi imekuwa kama norm, na watu hawaoni tena aibu kwa jamii. Na jamiini kama imefika mahali ikazoea hii hali. Hii ni hatari sana sana na madhara yake kwa kizazi kijacho yatakuwa makubwa sana.
 
We
hakuna adhabu nzito na kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kama KUISHI MAISHA ya UCHAWA ya kujitoa akili/kujizima data ,kujitoa ufahamu na kuamua kuishi kwa kushikiwa akili .


yani prof kuwa=lucas mwashambwa

si unaona hata paskali anavyopata tabu kudumu katika SCRIPT kujitoa akili kuwa chawa...kuna wakati akili inagoma anakuwa paskali kuna wakati tena paskali anakuwa lucas mwashmbwa..
ndiyo unaona adhabu wenzio fresh tu aisee acha kuwapangia watu maisha yao
 
Back
Top Bottom