PreGE2025 Kawaida: Tuwakate viongozi wanaotaka kuigawa CCM

PreGE2025 Kawaida: Tuwakate viongozi wanaotaka kuigawa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewahimiza wanachama wa CCM kudumisha umoja kuelekea Uchaguzi Mkuu na kuwakataa viongozi ambao wanawagawa na kuleta mpasuko kwa Wanachama.

Kawaida ameyasema hayo Mei 03, 2025 akihutubia maelfu ya Wakazi wa Wilaya ya Kahama katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa Msalala ambapo ameeleza kuwa ushindi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu unategemea umoja wa Wanachama wa CCM.
 
Back
Top Bottom