Kawagombanisha ili aolewe yeye na ameolewa

Kawagombanisha ili aolewe yeye na ameolewa

Survival for fittest.........hakuna ajabu apo the nature is selecting the weak awey from the centre
 
Hakuna kitu mapenzi hapo ataachwa vibaya mno hajui mwenzie alikuwa anavumilia vingapi unaweza kuona mwanamke anapendeza kumbe akili yake ya kudumisha ndoa ingia wewe kama hujambia.
 
tandale....buguruni....mbagala....yombo....vingunguti...mabibo....
 
Hakuna kitu mapenzi hapo ataachwa vibaya mno hajui mwenzie alikuwa anavumilia vingapi unaweza kuona mwanamke anapendeza kumbe akili yake ya kudumisha ndoa ingia wewe kama hujambia.

mkuu nimepata habari nae kaachwa, yeye mwenyewe alijisema baada ya kuolewa, na jamaa anataka kumrudia mkewe
 
hao nao magumashi...maneno ya kuletewa wanayaingiza mioyoni mwao hee
 
Back
Top Bottom