Kuna mmoja aliniambia bila maombi yake nisinge fika pale na ninatembelea nyota take Hadi nikaogopa .. Cha ajabu yeye Hadi Leo Ana randaranda tu [emoji1][emoji1]
Kila nikitaka kumkumbusha kwa nn maombi yake na nyota yake kwake haifanyi kazi kwake moyo unanisita ... Ila nikionana nae naishia kucheka moyoni tu.......Hawa binadamu bana