eddo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2010
- 290
- 35
tulianza na kauli mbiu,siasa ni kilimo,kilimo ni siasa,kilimo ni uti wa mgongo wa tanzania,sasa kilimo kwanza.kauli mbiu zote hizi mbona hakuna mabadiliko yoyote?wakulima wetu ni watu maskini sana,njaa inawatafuna mwaka hadi mwaka,kauli mbiu hizi zinatangaziwa kempnsy hotel huku wakinywa mvinyo.hii ni mambo ya ajabu ambayo nashindwa kuwazua.NAOMBA KUWASILISHA!