Kauli za CCM zilizofanikiwa mpaka sasa

eddo

JF-Expert Member
Mar 16, 2010
290
35
tulianza na kauli mbiu,siasa ni kilimo,kilimo ni siasa,kilimo ni uti wa mgongo wa tanzania,sasa kilimo kwanza.kauli mbiu zote hizi mbona hakuna mabadiliko yoyote?wakulima wetu ni watu maskini sana,njaa inawatafuna mwaka hadi mwaka,kauli mbiu hizi zinatangaziwa kempnsy hotel huku wakinywa mvinyo.hii ni mambo ya ajabu ambayo nashindwa kuwazua.NAOMBA KUWASILISHA!
 
1." KASI MPYA ARI MPYA NGUVU MPYA"
hapa wengi waliingizwa choo cha kike..kiukweli wamefanikiwa, kumekua na kasi mpya ya mafisadi..ari mpya ya kuiba hela za watanzania na nguvu mpya ya polisi kuwaonea wapinzani...

2.TUMETHUBUTU TUMEWEZA TUNASONGA MBELE
Binafsi naona hapa pia wamefanikiwa...wamethubutu kuiba na kufisadi, wameweza na sasa wanasonga mbele

3. TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA
Wamefanikiwa..wakienda kwenye kampeni wanachukuliana wake na hawajapata ngoma hadi sasa...kweli inawezekana.

4.MALERIA HAIKUBALIKI
Kweli tumeona kwa vitendo..wamejitahidi sana..hadi George Bush alitoka USA na kuja bongo kugawa vyandarua kweli haikubaliki...tunabadilishana madini na vyandarua ili kutimiza hii kauli kwamba Maleria haikubaliki.safi sana!

5.KILIMO KWANZA
dah hapa nisaidieni wakuu ila watakua wamefanikiwa tu hawa watu hawashindwi kitu

unaweza ukaongezea kauli na falsafa zilizofanikiwa tanzania
 
Uhuru ni kazi hii iliwapa nguvu wazee wetu kuijenga nchi ambayo inabomolewa na chamadola.
Vijana taifa la kesho hapa walichemka kwani umri wa kijana ni kati ya miaka 18 hadi 39 na ndo maana wameacha kuita vijana taifa la kesho.
 
1." KASI MPYA ARI MPYA NGUVU MPYA"
hapa wengi waliingizwa choo cha kike..kiukweli wamefanikiwa, kumekua na kasi mpya ya mafisadi..ari mpya ya kuiba hela za watanzania na nguvu mpya ya polisi kuwaonea wapinzani...

2.TUMETHUBUTU TUMEWEZA TUNASONGA MBELE
Binafsi naona hapa pia wamefanikiwa...wamethubutu kuiba na kufisadi, wameweza na sasa wanasonga mbele

3. TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA
Wamefanikiwa..wakienda kwenye kampeni wanachukuliana wake na hawajapata ngoma hadi sasa...kweli inawezekana.

4.MALERIA HAIKUBALIKI
Kweli tumeona kwa vitendo..wamejitahidi sana..hadi George Bush alitoka USA na kuja bongo kugawa vyandarua kweli haikubaliki...tunabadilishana madini na vyandarua ili kutimiza hii kauli kwamba Maleria haikubaliki.safi sana!

5.KILIMO KWANZA
Mafanikio ni makubwa sana katika kilimo....1. Sukari imepanda ei na kuwa bidhaa ya anasa. 2. Tumeuza ardhi kwa wawekezaji ili walime jatropha (rukwa, kigoma) huku tukiwafukuza watanzania kutoka kwe hayo maeneo
 
1." KASI MPYA ARI MPYA NGUVU MPYA"
hapa wengi waliingizwa choo cha kike..kiukweli wamefanikiwa, kumekua na kasi mpya ya mafisadi..ari mpya ya kuiba hela za watanzania na nguvu mpya ya polisi kuwaonea wapinzani...

2.TUMETHUBUTU TUMEWEZA TUNASONGA MBELE
Binafsi naona hapa pia wamefanikiwa...wamethubutu kuiba na kufisadi, wameweza na sasa wanasonga mbele

3. TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA
Wamefanikiwa..wakienda kwenye kampeni wanachukuliana wake na hawajapata ngoma hadi sasa...kweli inawezekana.

4.MALERIA HAIKUBALIKI
Kweli tumeona kwa vitendo..wamejitahidi sana..hadi George Bush alitoka USA na kuja bongo kugawa vyandarua kweli haikubaliki...tunabadilishana madini na vyandarua ili kutimiza hii kauli kwamba Maleria haikubaliki.safi sana!

5.KILIMO KWANZA
dah hapa nisaidieni wakuu ila watakua wamefanikiwa tu hawa watu hawashindwi kitu

unaweza ukaongezea kauli na falsafa zilizofanikiwa tanzania
maana yake,TUMETHUBUTU,TUMEJARIBU,TUMESHINDWA NA TUNAANZA UPYA.
 
Back
Top Bottom