Mkuu mbona hizo pancha? Sijui cable default hazikwepo kipindi cha Prof. Muhongo?Mnyonge mnyongeni lakini.....
Hakuna mfanyakazi wa Tanesco mwenye kutaka matatizo ya kujitakia na hasa kwa wakati huu.
Waziri anaongea kwa utashi wa kisiasa tu, kiufundi(na hapa nazungumzia fundi wa field na sio PAPER engineers) kama kuna Fault kwenye transmission line, distribution network, operation manager au protection engineer hawezi kuwa mtabiri hapo, kama ni hilo li-Grid lenu litadondoka mzinga ukiwa wa maana.
Mfano kipindi kile power cable inayolisha visiwani 132kV ilipancha, ingekuwa kipindi hiki si wafanyakazi wote wangetimuliwa?
Same applies kwa substations, inawezekana mteja mkubwa kasababisha tatizo, mafundi wapo ila SPARE PARTS hamna, hapo mtalala giz tu hata milele......wafanyakazi wafanyaje?
Tanesco Kisarawe Ni tatizo kubwa. Hawa watu hawajitumi kbs kwa hiyo hata wakifukizwa kwa dhulma inakuwa malipo kutokana na uzembe wao. Watu wanashindwa kuwaunganishia Umeme wateja waliolipia huduma kwa kipindi zaidi ya miezi sita. Wanachoangalia Ni rushes Tu. Hayo Ni malipo ya dhulma na uzembe wenu.Mnyonge mnyongeni lakini.....
Hakuna mfanyakazi wa Tanesco mwenye kutaka matatizo ya kujitakia na hasa kwa wakati huu.
Waziri anaongea kwa utashi wa kisiasa tu, kiufundi(na hapa nazungumzia fundi wa field na sio PAPER engineers) kama kuna Fault kwenye transmission line, distribution network, operation manager au protection engineer hawezi kuwa mtabiri hapo, kama ni hilo li-Grid lenu litadondoka mzinga ukiwa wa maana.
Mfano kipindi kile power cable inayolisha visiwani 132kV ilipancha, ingekuwa kipindi hiki si wafanyakazi wote wangetimuliwa?
Same applies kwa substations, inawezekana mteja mkubwa kasababisha tatizo, mafundi wapo ila SPARE PARTS hamna, hapo mtalala giz tu hata milele......wafanyakazi wafanyaje?
Kwa nn wasiwe na spare parts?Mnyonge mnyongeni lakini.....
Hakuna mfanyakazi wa Tanesco mwenye kutaka matatizo ya kujitakia na hasa kwa wakati huu.
Waziri anaongea kwa utashi wa kisiasa tu, kiufundi(na hapa nazungumzia fundi wa field na sio PAPER engineers) kama kuna Fault kwenye transmission line, distribution network, operation manager au protection engineer hawezi kuwa mtabiri hapo, kama ni hilo li-Grid lenu litadondoka mzinga ukiwa wa maana.
Mfano kipindi kile power cable inayolisha visiwani 132kV ilipancha, ingekuwa kipindi hiki si wafanyakazi wote wangetimuliwa?
Same applies kwa substations, inawezekana mteja mkubwa kasababisha tatizo, mafundi wapo ila SPARE PARTS hamna, hapo mtalala giz tu hata milele......wafanyakazi wafanyaje?