jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Wanasema kazi ya kusema uongo inahitaji kumbukumbu nyingi na za hali ya juu.
Unapoamua kusema uongo ni lazima ukumbuke yaliyopita,yale unayoyasema na unayohisi utayasema hapo baadae.
Sumaye ni muongo-hii ni kauli ya Makongoro Nyerere ambayo nakubaliana nayo kwa asilimia 100.
Pia kauli hii ya Makongoro imeanza kueleweka vizuri sana kule umasaini Monduli.
Wamasai wanajiuliza swali moja muhimu kwamba Sumaye anaposema ccm haijafanya kitu anamaanisha hata kijana wao Edward Moringe Sokoine morani wa ukweli hakuifanyia nchi hii chochote cha maana??
Hapa ndipo wana wa Monduli wanapokataa usanii wa genge hili la wahuni.
Unapoamua kusema uongo ni lazima ukumbuke yaliyopita,yale unayoyasema na unayohisi utayasema hapo baadae.
Sumaye ni muongo-hii ni kauli ya Makongoro Nyerere ambayo nakubaliana nayo kwa asilimia 100.
Pia kauli hii ya Makongoro imeanza kueleweka vizuri sana kule umasaini Monduli.
Wamasai wanajiuliza swali moja muhimu kwamba Sumaye anaposema ccm haijafanya kitu anamaanisha hata kijana wao Edward Moringe Sokoine morani wa ukweli hakuifanyia nchi hii chochote cha maana??
Hapa ndipo wana wa Monduli wanapokataa usanii wa genge hili la wahuni.