Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Kauli aliyoitoa leo Samia Oktoba 21, 2025 pale Kinondoni yakusema Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura, naona imewapa viburi zaidi polisi na vyombo vya ulizi na usalama kwa ujumla.
Yani kauli yake ni oda kubwa kwamba kila atakayethubutu kufanya maandamano siku ya Oktoba 29, 2025 basi atakutana na moto mkali sana.
Niseme hii kauli mbaya sana kwa rais kuitoa, inatishia usalama kwa wananchi ambao nao waliokuwa na haki ya kwenda kutete haki zao. Lakini imetoa baraka kwa watu wake kwenda kuwaumiza vibaya watanzania watakaoojitokeza katika maandamano.
Soma Pia: Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura
Samia tambua nafasi ulikuwa nayo leo hatukaa nayo mimi, maana kauli zako zimezidi kuwa mbaya na zinazowapa nguvu ya kufanya maovu hayo polisi ambao kwa sasa wamekuwa maadui wa kubwa sana na Watanzania!
Yani kauli yake ni oda kubwa kwamba kila atakayethubutu kufanya maandamano siku ya Oktoba 29, 2025 basi atakutana na moto mkali sana.
Niseme hii kauli mbaya sana kwa rais kuitoa, inatishia usalama kwa wananchi ambao nao waliokuwa na haki ya kwenda kutete haki zao. Lakini imetoa baraka kwa watu wake kwenda kuwaumiza vibaya watanzania watakaoojitokeza katika maandamano.
Soma Pia: Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura
Samia tambua nafasi ulikuwa nayo leo hatukaa nayo mimi, maana kauli zako zimezidi kuwa mbaya na zinazowapa nguvu ya kufanya maovu hayo polisi ambao kwa sasa wamekuwa maadui wa kubwa sana na Watanzania!