Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Rais wa Jamhuri ya Watu wa China amepinga mashambulizi yanayofanywa na nchi za magharibi nchini Libya kwa kisingizio cha kudhibiti a 'non fly zone'. Amesema makubaliano yaliyofikiwa na UN kuhusu Libya yalilenga kuepusha mauaji zaidi ya raia wasio na hatia lakini majeshi ya nchi magharibi yanafanya kinyume.
Chanzo cha Habari: Aljazeera.
Chanzo cha Habari: Aljazeera.