SBAKARI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 355
- 289
NIKK WA PILI ASEMA WEUSI HAWAUI MUZIKI, AWAHUSISHA ASLAY NA DIAMOND PLATNUMZ .
Msanii wa muziki kutoka Kundi la Weusi, Nikki wa Pili amesema anasikitishwa na propaganda za wasanii wenzake pamoja na mashabiki wanaodai kuwa wanaharibu muziki kwa kutoa nyimbo mara kwa mara .
Mkali huyo wa 'quality time' ameeleza hayo na kuwataka watanzania washeherekee pale msanii anapotoa hits nyingi ndani ya kipindi kifupi na sio kumwambia anaua muziki .
"Cha kwanza niseme nasikitishwa na feedback kwasababu kama weusi wanaweza kupiga hits tano ndani ya miezi miwili katika diversity yani ukisikiliza 'Luck me' ni tofauti na 'Nuru' ni tofauti na 'Quality Time' ni tofauti na 'Madaraka ya Kulevya' ni tofauti na 'Dude' ni tofauti na 'Kataa leta' ndani ya miezi mitatu watu wanaweza kufanya kitu kama hicho nilifikiri kwamba ingepokelewa kama Mwanafunzi aliyepata 'A' saba, nilifikiri watu wataangalia katika ukubwa huo watu wataangalia Art kwamba imewezekanaje hawa watu wameweza kupiga sound sita tofauti floo, melody, ubunifu, content tofauti katika kila nyimbo nilifikiri watu watasheherekea Art" alisema @nikkwapili .
"kama kawaida ya watanzania wanapindisha ukweli kwahiyo kitu kikubwa kwenye hiyo sanaa haizungumzwi watu wanazungumza ooh weusi wanatoa nyimbo wanaua nyimbo zao ongelea creativity unaacha kuongelea big point unaongelea kuua, unawezaje kuua hits..? Eeh! Kuna wasanii wangapi mwaka huu wametoa hata nyimbo nne mpaka sasa hazijasikika, hao je wameua nyimbo zao au? Hiyo hoja kwangu naona haina mashiko"ameongeza .
Katika hatua nyingine Nikk wa pili amesema "kama dogo @Aslayisihaka amepiga hits 3 ndio vitu vya kuongea huyu mtoto mdogo anapiga hits 3 ndani ya miezi miwili ndio vitu vya kusifia @diamondplatnumz ametoa ngoma 3 video kubwa ndio vitu vya kuongea namna Artist alivyowekeza video kubwa 3 ndani ya miezi miwili ndio vitu vya kusifia tusilete politics tusivunje mioyo watu wanaofanya kazi"
[HASHTAG]#letitshinenewz[/HASHTAG]
Msanii wa muziki kutoka Kundi la Weusi, Nikki wa Pili amesema anasikitishwa na propaganda za wasanii wenzake pamoja na mashabiki wanaodai kuwa wanaharibu muziki kwa kutoa nyimbo mara kwa mara .
Mkali huyo wa 'quality time' ameeleza hayo na kuwataka watanzania washeherekee pale msanii anapotoa hits nyingi ndani ya kipindi kifupi na sio kumwambia anaua muziki .
"Cha kwanza niseme nasikitishwa na feedback kwasababu kama weusi wanaweza kupiga hits tano ndani ya miezi miwili katika diversity yani ukisikiliza 'Luck me' ni tofauti na 'Nuru' ni tofauti na 'Quality Time' ni tofauti na 'Madaraka ya Kulevya' ni tofauti na 'Dude' ni tofauti na 'Kataa leta' ndani ya miezi mitatu watu wanaweza kufanya kitu kama hicho nilifikiri kwamba ingepokelewa kama Mwanafunzi aliyepata 'A' saba, nilifikiri watu wataangalia katika ukubwa huo watu wataangalia Art kwamba imewezekanaje hawa watu wameweza kupiga sound sita tofauti floo, melody, ubunifu, content tofauti katika kila nyimbo nilifikiri watu watasheherekea Art" alisema @nikkwapili .
"kama kawaida ya watanzania wanapindisha ukweli kwahiyo kitu kikubwa kwenye hiyo sanaa haizungumzwi watu wanazungumza ooh weusi wanatoa nyimbo wanaua nyimbo zao ongelea creativity unaacha kuongelea big point unaongelea kuua, unawezaje kuua hits..? Eeh! Kuna wasanii wangapi mwaka huu wametoa hata nyimbo nne mpaka sasa hazijasikika, hao je wameua nyimbo zao au? Hiyo hoja kwangu naona haina mashiko"ameongeza .
Katika hatua nyingine Nikk wa pili amesema "kama dogo @Aslayisihaka amepiga hits 3 ndio vitu vya kuongea huyu mtoto mdogo anapiga hits 3 ndani ya miezi miwili ndio vitu vya kusifia @diamondplatnumz ametoa ngoma 3 video kubwa ndio vitu vya kuongea namna Artist alivyowekeza video kubwa 3 ndani ya miezi miwili ndio vitu vya kusifia tusilete politics tusivunje mioyo watu wanaofanya kazi"
[HASHTAG]#letitshinenewz[/HASHTAG]