Kauli ya Mzee Kikwete ni dharau kubwa sana kwa Taifa

Kauli ya Mzee Kikwete ni dharau kubwa sana kwa Taifa

Criss

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
1,944
Reaction score
3,090
Heshima ya Rais mstaafu hupaswa kuwa ni ya kiwango cha juu sana kwenye Taifa lolote alilowahi kulitumikia na kimataifa kwa ujumla .

Lakini kwa ile kauli ya Kikwete iliyotolewa jana akiwa huko Pwani inadhihirisha siyo tu ameshindwa kuheshimu thamani ya demokrasia na vilio vya watu waliyonyimwa haki ya kusikilizwa bali amewadharau watanzania kwa kiwango cha juu sana .

Kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kusimama imara kulipambania Taifa lirejee kwenye misingi ili chama chochote cha siasa kitakachopata ridhaa kuwe kinajiedesha kwa kufuata sheria sambamba na kutii matakwa ya watanzania .

Tukishindwa kuwaondoa hapa tarehe 29_October tujue kitakachofuata ipo siku tutaweza hata kupapaswa makalio na wanaccm na hatutakuwa na chakuwafanya .

Taifa limefikia eneo ambalo tusipokubali hata kufa tujue kuwa tumekubali kuishi kama wake za watu aisee .

Pia soma
 
Heshima ya Rais mstaafu hupaswa kuwa ni yakiwango cha juu sana kwenye Taifa lolote alilowahi kulitumikia na kimataifa kwa ujumla .

Lakini kwa ile kauli ya Kikwete iliyotolewa jana akiwa huko Pwani inadhihirisha siyo tu ameshindwa kuheshimu thamani ya demokrasia na vilio vya watu waliyonyimwa haki ya kusikilizwa bali amewadharau watanzania kwa kiwango cha juu sana .

Kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kusimama imara kulipambania Taifa lirejee kwenye misingi ili chama chochote cha siasa kitakachopata ridhaa kuwe kinajiedesha kwa kufuata sheria sambamba na kutii matakwa ya watanzania .

Tukishindwa kuwaondoa hapa tarehe 29_October tujue kitakachofuata ipo siku tutaweza hata kupapaswa makalio na wanaccm na hatutakuwa na chakuwafanya .

Taifa limefikia eneo ambalo tusipokubali hata kufa tujue kuwa tumekubali kuishi kama wake za watu aisee .
Huyu ni baba wa demokrasia. Si huqa tunasema hivyo
 
Sure Boy Mzoga.
Mista Misifa.
󱡓󱥊󱥆󱎎91...(1).webp
 
Heshima ya Rais mstaafu hupaswa kuwa ni ya kiwango cha juu sana kwenye Taifa lolote alilowahi kulitumikia na kimataifa kwa ujumla .

Lakini kwa ile kauli ya Kikwete iliyotolewa jana akiwa huko Pwani inadhihirisha siyo tu ameshindwa kuheshimu thamani ya demokrasia na vilio vya watu waliyonyimwa haki ya kusikilizwa bali amewadharau watanzania kwa kiwango cha juu sana .

Kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kusimama imara kulipambania Taifa lirejee kwenye misingi ili chama chochote cha siasa kitakachopata ridhaa kuwe kinajiedesha kwa kufuata sheria sambamba na kutii matakwa ya watanzania .

Tukishindwa kuwaondoa hapa tarehe 29_October tujue kitakachofuata ipo siku tutaweza hata kupapaswa makalio na wanaccm na hatutakuwa na chakuwafanya .

Taifa limefikia eneo ambalo tusipokubali hata kufa tujue kuwa tumekubali kuishi kama wake za watu aisee .

Pia soma
Anatumikia madhambi
 
Ngoja waipate fresh akili iwakae vema ndio watajua kwa nini chadema ilitia ngumu uchaguzi, badala ya kuungana na kuwa na msimamo mmoja hivyo vyama magunzi vikajitia wazimu kushiriki uchaguzi. Kauli hii imepokelewa vema hata na mikoa mingine kama Tanga nao wamesema hawatachanganya pumba. Ni dhahiri vyama pumba havitapata jimbo hata mmoja na itakuwa ni kicheko kikuu kwa chadema
 
Heshima ya Rais mstaafu hupaswa kuwa ni ya kiwango cha juu sana kwenye Taifa lolote alilowahi kulitumikia na kimataifa kwa ujumla .

Lakini kwa ile kauli ya Kikwete iliyotolewa jana akiwa huko Pwani inadhihirisha siyo tu ameshindwa kuheshimu thamani ya demokrasia na vilio vya watu waliyonyimwa haki ya kusikilizwa bali amewadharau watanzania kwa kiwango cha juu sana .

Kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kusimama imara kulipambania Taifa lirejee kwenye misingi ili chama chochote cha siasa kitakachopata ridhaa kuwe kinajiedesha kwa kufuata sheria sambamba na kutii matakwa ya watanzania .

Tukishindwa kuwaondoa hapa tarehe 29_October tujue kitakachofuata ipo siku tutaweza hata kupapaswa makalio na wanaccm na hatutakuwa na chakuwafanya .

Taifa limefikia eneo ambalo tusipokubali hata kufa tujue kuwa tumekubali kuishi kama wake za watu aisee .

Pia soma
Yule mzee hana aibu kabisaa
 
Tumekosa mtu wa kumuwaisha kweli? Si kwa kiburi hiki huyu mpuuzi na uzee wake kageuka karumekenge
 
Back
Top Bottom