Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Kuna kijiji kimoja kinaitwa KATOMA Katikati ya Nyamboge na nkome mkoani Geita tarafa ya Bugando, hapo kijijini kuna kaburi LA BABU yake na Mkulu wetu nimewahi kufika hapo na wakazi wa hicho kijiji wanadai Mzee magufuli (siyo jina halisi) Walimuita wenyeji kutokana na ukorofi wake na kuwashitaki watu na kuwafunga, Alikuwa Mzee mwenye ng'ombe wengi sana na Alihamia hapo kijijini akitokea Kati ya nchi ya Rwanda au Burund kwa kisukuma huitwa (bwadushi)(Tutsi) Hivyo huyu Mzee alikuwa mhamiaji na Alifia hapo katoma na kuzikwa hapo ndipo Baba yake na Mkulu wetu na ndg wengine walipohamia Biharamlo mkulu akiwa Mdogo sana hajaanza hata shule na shule alienda kuanzia kule,,
Mh...
 
Pascal umepandisha uzi huu kwa lengo gani?

Ama leo unataka baada ya kuchambua andiko lako tuhitimishe kwa kusema kuwa Magufuli hakuwa msukuma ili;

1. Ionekane na kuhalalisha kuwa wasukuma ninyi hamna hulka na silka kama alizokuwa nazo Rais Magufuli na pengine jamii sasa isiwanisibishe naye.

2. Kwamba sasa waliokuwa na dhana ya sukumagang waione kuwa haikuwepo bali ni siasa tu!

Haya ni maoni yangu juu ya uzi huu kwa mkitadha wa kurejeshewa kivingine, tofauti na malengo ya awali.

Pascal nisikusemee embu tuambie nini lengo la uzi huu kupandishwa mara ya pili katika kipindi ambacho tayari Hayati Rais Magufuri hayupo ili tujadili tukiwa na "engo"stahiki.
Uzi wa zamani mbona
 
Wanabodi,

Utangulizi
Tuanze na background issue ni Askofu wa Kanisa la FGBF, Askofu Mkuu, Zakaria Kakobe, amezumza kwa ukali kabisa kumwambia rais Magufuli ni mdhambi na kumtaka atubu, na asipo tubu kuna kitu Mungu atafanya, ila hakusema ni nini


Hii sio thread ya kuzungumzia dhambi za rais Magufuli, bali ni thread ya swali lililotokana na ile kauli ya Kakobe kumtaka rais "Magufuli Atubu", ambayo sasa imekuwa ni kama jambo limezua jambo kwa kauli hiyo kuwaibua watu wanaohoji asili halisi ya rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, baada ya member fulani humu kuibuka na hoja kuwa rais Magufuli na Askofu Kakobe ni watu wamoja, wanajuana vizuri, wote ni watu wa kutoka kijiji kimoja, ni watu wa kabila moja la Waha wa Kakonko. Jee ukweli ni upi?. Jee rais wetu Magufuli ni Msukuma wa Chato, Mhaya wa Wazilankande au ni Muha wa Kakonko?.

Declaration Kuhusu Ukabila
Japo ni bandiko kuhusu ukweli wa asili ya mtu, kuzungumzia asili ya mtu sio ukabila bali hii inaitwa tracing the originality, uki trace the orgin ya asili za makabila mengi ya Tanzania, utashangaa kukuta kumbe makabila ya asili ya Tanzania ni machache, wakiwemo Wasukuma na Wagogo, na makabila ya mikoa ya kati, lakini mengi ya makabila ya Tanzania ni wahamiaji, hivyo watu wote waliokuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika kuanzia ile saa 6:00 wa tarehe 9 Desemba, mwaka 1961, ni Watanzania, regardless walizaliwa wapi na asili zao ni wapi, wote tuu Watanzania na tuu wamoja.

Katika bandiko hili pia tutamuangazia kidogo Askofu Kakobe na hoja yake kumtaka rais Magufuli atubu, kama alichofanya ni kitu sahihi au laa!.

Declaration of Interest of Truthfullness
Naomba kuanza na declaration of interest kuwa mimi Paskali Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na kanuni kuu na ya kwanza ya tasnia yetu ya habari ni "seek the truth, and tell nothing but the truth!" ikimaanisha ukweli ndio nguzo kuu ya tasnia ya habari, kazi ya mwandishi wa habari wa ukweli ni kuutafuta tuu ukweli na kuandika ukweli huo au kuusema ukweli bali katika kuusema ukweli, mwandishi sio anatakiwa kuusema tuu ukweli no matter what, bali kuusema ukweli utakaoisaidia jamii na kuleta manufaa, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Declaration of Interest ya Usukuma
Kwa vile mimi kwa kabila ni Msukuma, na kwa vile tayari kuna hoja za ukabila na Usukumanaization kwenye awamu hii ya Magufuli, naomba kudeclare my interest kuwa, siandiki bandiko hili kwa ajili ya Usukuma wangu, wala bandiko hili sio la ukabila, na Wasukuma sio wakabila, bali ni bandiko la kuhoji ukweli wa kabila halisi la kiongozi wetu, kwa nia njema kabisa ya kuwa na info, to be informed, kwa imani kuwa hakuna ubaya wowote kwa raia wowote wa Tanzania, kufahamu ukweli wa kabila halisi la kweli na asili halisi ya kweli ya kiongozi wetu.

Turudi kwenye mada kuu
Jee Rais Magufuli ni Msukuma, Muhaya au Muha wa Kakonko?.
Siku za nyuma kuna member mwingine humu aliwahi kuibuka na kudai kuwa rais Magufuli sii Msikuma bali ni Muhaya, akaibuka hadi na jina lake halisi la Kihaya kuwa anaitwa Katto, tulipomuomba atufafanulie ukweli huu, aliingia mitini, sasa leo huyu Gungele naye anaibuka na hoja yake kuwa rais Magufuli ni Muha wa Kakonko anakotoka Kakobe!, nimemuomba athibitishe, wakati tukisubiri uthibitisho huu, ndipo ninauliza, kuna ubaya wowote, Watanzania tukafahamishwa kwa ukweli halisi usiotia shaka na kwa uwazi, asili halisi ya rais Magufuli, jee rais wetu Dr. John Pombe Magufuli asili yake kabisa ni Kabila gani?.

NB. Hii tabia ya baadhi ya viongozi kubadili makabila na kutumia makabila mengine, haikuanza leo, ilianza tangu enzi za Baba wa Taifa, watu walisema humu, hata Mkapa naye akasemwa ni wa kule..., Edward Lowassa inafahamika wazi kwa wengi kuwa ni Mmasai wa Monduli, but in reality, Lowassa Mmeru, ila wazazi wake ndio walihamia Monduli, akazaliwa Monduli, akakulia Monduli, akalelewa Kimasai na kukua na morani wa kule, kwa kupitia hatua zote ikiwemo initiations, hivyo sasa yeye kweli ni Mmasai.

Hitimisho.
Rais Magufuli ni rais wetu, tumemchagua kwa kura zetu, yeye sio malaika bali ni binadamu tuu kama sisi, na hivyo kuweza kufanya makosa na hata dhambi, ila hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumhukumu binadamu mwingiwe kuwa ni mdhambi, na sio kumhukumu kuwa ni mdhambi, na katika kuijua asili yake, kuna baadhi ya mambo ni mambo yake ya binafsi, na hatupaswi kuyaulizia ili tusiingilie uhuru wake binafsi, yaani his right to privacy, lakini kuijua asili yake, dini yake, kabila lake sisi as taxpayers, we have the right to know details, his public as well as his private conduct haswa katika determination ya truthfulness, morality, na integrity ambayo ni ethical issue ni sifa kuu muhimu kabisa kuliko sifa zote za kiongozi wa nchi.
Jumatano Njema ya Kufungia Mwaka.
Paskali.
Rejea
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?."
Tuhuma za udini, ukanda na ukabila katika teuzi, kama wote wana sifa, kuna tatizo gani?.
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Wito Kwa Bunge Letu Tukufu: Mkithibisha Hii Nepotism ya Ajabu na Zile Boeing ni TT, Then Hatufai!.
https://www.jamiiforums.com/threads...edeye-ni-bomu.570208/page-8n-hatufai.1246099/
Update 1
Haya ni baadhi ya majibu ambayo ambayo ni very objective na yana coherence, na kwakutumia uzoefu wangu wangu wa miaka 27 ya uandishi wa habari, naamini haya yasemwayo ni kweli kwa msingi tuu wa hearsay na third party contributions, confirmation itapatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, wana ukoo, next of kin or from the horses mouth.






Kuna somo Askofu Kakobe alifundisha kuhusu Kushupaza Shingo Ni somo zuri sana.
 
Atajua mwenyewe km ni muha au La, cha msingi ushauri wa kiongozi wa dini uzingatiwe, Kakobe ni mzalendo wa kweli na ana hofu ya MUNGU, , tatizo la baadhi ya wana CCM wanapenda Maneno ya viongozi wa dini wanafiq na wachumia tumbo kama askofu MWANYA ,,
Je alizingatia??

Kwa nini hayati alikuwa hasikilizi haya mashauri ya watumishi wa Mungu.? Yeye alipenda watumishi wanaomsifia tu hata kama ni watumishi fake
 
Wanabodi,

Utangulizi
Tuanze na background issue ni Askofu wa Kanisa la FGBF, Askofu Mkuu, Zakaria Kakobe, amezumza kwa ukali kabisa kumwambia rais Magufuli ni mdhambi na kumtaka atubu, na asipo tubu kuna kitu Mungu atafanya, ila hakusema ni nini


Hii sio thread ya kuzungumzia dhambi za rais Magufuli, bali ni thread ya swali lililotokana na ile kauli ya Kakobe kumtaka rais "Magufuli Atubu", ambayo sasa imekuwa ni kama jambo limezua jambo kwa kauli hiyo kuwaibua watu wanaohoji asili halisi ya rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, baada ya member fulani humu kuibuka na hoja kuwa rais Magufuli na Askofu Kakobe ni watu wamoja, wanajuana vizuri, wote ni watu wa kutoka kijiji kimoja, ni watu wa kabila moja la Waha wa Kakonko. Jee ukweli ni upi?. Jee rais wetu Magufuli ni Msukuma wa Chato, Mhaya wa Wazilankande au ni Muha wa Kakonko?.

Declaration Kuhusu Ukabila
Japo ni bandiko kuhusu ukweli wa asili ya mtu, kuzungumzia asili ya mtu sio ukabila bali hii inaitwa tracing the originality, uki trace the orgin ya asili za makabila mengi ya Tanzania, utashangaa kukuta kumbe makabila ya asili ya Tanzania ni machache, wakiwemo Wasukuma na Wagogo, na makabila ya mikoa ya kati, lakini mengi ya makabila ya Tanzania ni wahamiaji, hivyo watu wote waliokuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika kuanzia ile saa 6:00 wa tarehe 9 Desemba, mwaka 1961, ni Watanzania, regardless walizaliwa wapi na asili zao ni wapi, wote tuu Watanzania na tuu wamoja.

Katika bandiko hili pia tutamuangazia kidogo Askofu Kakobe na hoja yake kumtaka rais Magufuli atubu, kama alichofanya ni kitu sahihi au laa!.

Declaration of Interest of Truthfullness
Naomba kuanza na declaration of interest kuwa mimi Paskali Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na kanuni kuu na ya kwanza ya tasnia yetu ya habari ni "seek the truth, and tell nothing but the truth!" ikimaanisha ukweli ndio nguzo kuu ya tasnia ya habari, kazi ya mwandishi wa habari wa ukweli ni kuutafuta tuu ukweli na kuandika ukweli huo au kuusema ukweli bali katika kuusema ukweli, mwandishi sio anatakiwa kuusema tuu ukweli no matter what, bali kuusema ukweli utakaoisaidia jamii na kuleta manufaa, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Declaration of Interest ya Usukuma
Kwa vile mimi kwa kabila ni Msukuma, na kwa vile tayari kuna hoja za ukabila na Usukumanaization kwenye awamu hii ya Magufuli, naomba kudeclare my interest kuwa, siandiki bandiko hili kwa ajili ya Usukuma wangu, wala bandiko hili sio la ukabila, na Wasukuma sio wakabila, bali ni bandiko la kuhoji ukweli wa kabila halisi la kiongozi wetu, kwa nia njema kabisa ya kuwa na info, to be informed, kwa imani kuwa hakuna ubaya wowote kwa raia wowote wa Tanzania, kufahamu ukweli wa kabila halisi la kweli na asili halisi ya kweli ya kiongozi wetu.

Turudi kwenye mada kuu
Jee Rais Magufuli ni Msukuma, Muhaya au Muha wa Kakonko?.
Siku za nyuma kuna member mwingine humu aliwahi kuibuka na kudai kuwa rais Magufuli sii Msikuma bali ni Muhaya, akaibuka hadi na jina lake halisi la Kihaya kuwa anaitwa Katto, tulipomuomba atufafanulie ukweli huu, aliingia mitini, sasa leo huyu Gungele naye anaibuka na hoja yake kuwa rais Magufuli ni Muha wa Kakonko anakotoka Kakobe!, nimemuomba athibitishe, wakati tukisubiri uthibitisho huu, ndipo ninauliza, kuna ubaya wowote, Watanzania tukafahamishwa kwa ukweli halisi usiotia shaka na kwa uwazi, asili halisi ya rais Magufuli, jee rais wetu Dr. John Pombe Magufuli asili yake kabisa ni Kabila gani?.

NB. Hii tabia ya baadhi ya viongozi kubadili makabila na kutumia makabila mengine, haikuanza leo, ilianza tangu enzi za Baba wa Taifa, watu walisema humu, hata Mkapa naye akasemwa ni wa kule..., Edward Lowassa inafahamika wazi kwa wengi kuwa ni Mmasai wa Monduli, but in reality, Lowassa Mmeru, ila wazazi wake ndio walihamia Monduli, akazaliwa Monduli, akakulia Monduli, akalelewa Kimasai na kukua na morani wa kule, kwa kupitia hatua zote ikiwemo initiations, hivyo sasa yeye kweli ni Mmasai.

Hitimisho.
Rais Magufuli ni rais wetu, tumemchagua kwa kura zetu, yeye sio malaika bali ni binadamu tuu kama sisi, na hivyo kuweza kufanya makosa na hata dhambi, ila hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumhukumu binadamu mwingiwe kuwa ni mdhambi, na sio kumhukumu kuwa ni mdhambi, na katika kuijua asili yake, kuna baadhi ya mambo ni mambo yake ya binafsi, na hatupaswi kuyaulizia ili tusiingilie uhuru wake binafsi, yaani his right to privacy, lakini kuijua asili yake, dini yake, kabila lake sisi as taxpayers, we have the right to know details, his public as well as his private conduct haswa katika determination ya truthfulness, morality, na integrity ambayo ni ethical issue ni sifa kuu muhimu kabisa kuliko sifa zote za kiongozi wa nchi.
Jumatano Njema ya Kufungia Mwaka.
Paskali.
Rejea
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?."
Tuhuma za udini, ukanda na ukabila katika teuzi, kama wote wana sifa, kuna tatizo gani?.
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Wito Kwa Bunge Letu Tukufu: Mkithibisha Hii Nepotism ya Ajabu na Zile Boeing ni TT, Then Hatufai!.
https://www.jamiiforums.com/threads...edeye-ni-bomu.570208/page-8n-hatufai.1246099/
Update 1
Haya ni baadhi ya majibu ambayo ambayo ni very objective na yana coherence, na kwakutumia uzoefu wangu wangu wa miaka 27 ya uandishi wa habari, naamini haya yasemwayo ni kweli kwa msingi tuu wa hearsay na third party contributions, confirmation itapatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, wana ukoo, next of kin or from the horses mouth.






Umeibua mengi.
Kwa kipindi kifupi alichokuwa na madaraka Magufuli alidhihirika si msukuma, kuna waliofikiri ni mrundi.
Aliwatumia wasukuma for mass support.
 
Umebinua mengi.
Kwa kipindi kifusi alichosoma madaraka Magufuli alidhihirika si msukuma, kuna waliofika ni mafundi.
Aliwatumia wasukuma for mass support.
Mkuu Jidu La Mabambasi , kwanza Happy Valentines!.
Kanda ya Ziwa ndio Kanda pekee determinant ya ushindi wa urais wa JMT!. Angalia tarehe ya mabandiko haya
- Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

- Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Kama hawa jamaa zetu, baada ya kumiliki Kanda ya Ziwa, laiti wangelijua mbinu za ku consolidate what they had!, saa hizi zamani tungekuwa tunazumza mengine!.
Happy Valentines!.
P.[/URL]
 
Je alizingatia??

Kwa nini hayati alikuwa hasikilizi haya mashauri ya watumishi wa Mungu.? Yeye alipenda watumishi wanaomsifia tu hata kama ni watumishi fake
Ukweli utakuja dhihirika juu ya Magufuli kuwa na file Mirembe.
M'kiti wa CCM Mwanza alidokeza kama utani, lakini tulimwelewa, pamoja na watu fulani kutaka ukweli huo ufutikwe.
 
Mkuu Jidu La Mabambasi , kwanza Happy Valentines!.
Kanda ya Ziwa ndio Kanda pekee determinant ya ushindi wa urais wa JMT!. Angalia tarehe ya mabandiko haya Nimekubali matokeo, UKAWA Kanda ya Ziwa wako vizuri, Mnyika, Salum ni Combination ya hatari
but very unfortunately Chadema missed the target

Kama hawa jamaa zetu, baada ya kumiliki Kanda ya Ziwa, laiti wangelijua mbinu za ku consolidate what they had!, saa hizi zamani tungekuwa tunazumza mengine!.
Happy Valentines!.
P.
Nakubaliana nawe mkuu.
Kanda ya ziwa ni mtaji mkubwa kisiasa.

Lakini Mwalimu alisha onya juu ya hili, kuibuka kwa makundi dorminant na kuondoa mshikamano wa kitaifa.

Magufuli siyo siri, alirudisha nyuma sana mshikamano wa kitaifa kwa kuwa na upendeleo wa wazi, nepotism na tribalism.
Historia haitamsamehe kwa hilo.
Kuwabomolea watu wa Kimara na kwingineko kwa sheria lakini wale wa Mwanza wanasamehewa eti wapiga kura wake.

Miradi mingi ya maendeleo kurundikwa sehemu moja ya kanda Ziwa wakati kwingine hakuna kabisa.
Hata kama watu hawakusema, lakini hii ilijenga resentment against watu ambao kwa kawaida ni wapole na wasikivu, watu wa kanda ya Ziwa.
Siyo bure tukapata eti jina la SUKUMA GANG.

Kanda ya Ziwa imetoa viongozi wengi tu na wenye mvuto na busara.
Kina Sitta, Bomani, Makani, Rwegasira na Barongo, Warioba n.k.

Suala si kanda ya Ziwa, suala ni mtu mwenyewe na madudu yaliyomo kichwani!

Mbaya zaidi huyu mwamba( strongman) alidiriki kuvichezea vyombo vilivyo muweka pale ilipofikia.
Na huo ndio ukawa mwanzo wa mwisho wake.

Lakini wajuvi wanasema, tatizo lote lilianzia Awamu ya nne na CCM wakati huo.
Mtu mwenye matatizo ya kiafya, hasa psychiatric, anagombeaje urais?
Vyombo cha vetting vilipigwa ganzi?

Na Magufuli akijua hilo, alivivuruga sana vyombo hivyo ili virandane na matakwa yake.
Historia itufundishe kuwa tulipofikishwa hapakuwa pazuri kwa mustakabali wa Taifa.
 
Kinachonikela mimi kama mimi kwa huyu mzee kujifanya yeye mzalendo namba moja mpka mtu unafika kipindi unadukua simu ya Lissu kitendo alichomfanyia Lissu kwenda Mbiguni itakua kazi
Ni ujinga wa kutokujua tu ndio unakusumbua.swala la kudukua simu ya mtu ni swala la kawaida sana.nchi nyingi zilizoendelea zina fanya hivyo,na kuna vitengo maalumu vya kiusalama vinafanya hivyo.
 
Wanabodi,

Utangulizi
Tuanze na background issue ni Askofu wa Kanisa la FGBF, Askofu Mkuu, Zakaria Kakobe, amezumza kwa ukali kabisa kumwambia rais Magufuli ni mdhambi na kumtaka atubu, na asipo tubu kuna kitu Mungu atafanya, ila hakusema ni nini


Hii sio thread ya kuzungumzia dhambi za rais Magufuli, bali ni thread ya swali lililotokana na ile kauli ya Kakobe kumtaka rais "Magufuli Atubu", ambayo sasa imekuwa ni kama jambo limezua jambo kwa kauli hiyo kuwaibua watu wanaohoji asili halisi ya rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, baada ya member fulani humu kuibuka na hoja kuwa rais Magufuli na Askofu Kakobe ni watu wamoja, wanajuana vizuri, wote ni watu wa kutoka kijiji kimoja, ni watu wa kabila moja la Waha wa Kakonko. Jee ukweli ni upi?. Jee rais wetu Magufuli ni Msukuma wa Chato, Mhaya wa Wazilankande au ni Muha wa Kakonko?.

Declaration Kuhusu Ukabila
Japo ni bandiko kuhusu ukweli wa asili ya mtu, kuzungumzia asili ya mtu sio ukabila bali hii inaitwa tracing the originality, uki trace the orgin ya asili za makabila mengi ya Tanzania, utashangaa kukuta kumbe makabila ya asili ya Tanzania ni machache, wakiwemo Wasukuma na Wagogo, na makabila ya mikoa ya kati, lakini mengi ya makabila ya Tanzania ni wahamiaji, hivyo watu wote waliokuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika kuanzia ile saa 6:00 wa tarehe 9 Desemba, mwaka 1961, ni Watanzania, regardless walizaliwa wapi na asili zao ni wapi, wote tuu Watanzania na tuu wamoja.

Katika bandiko hili pia tutamuangazia kidogo Askofu Kakobe na hoja yake kumtaka rais Magufuli atubu, kama alichofanya ni kitu sahihi au laa!.

Declaration of Interest of Truthfullness
Naomba kuanza na declaration of interest kuwa mimi Paskali Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na kanuni kuu na ya kwanza ya tasnia yetu ya habari ni "seek the truth, and tell nothing but the truth!" ikimaanisha ukweli ndio nguzo kuu ya tasnia ya habari, kazi ya mwandishi wa habari wa ukweli ni kuutafuta tuu ukweli na kuandika ukweli huo au kuusema ukweli bali katika kuusema ukweli, mwandishi sio anatakiwa kuusema tuu ukweli no matter what, bali kuusema ukweli utakaoisaidia jamii na kuleta manufaa, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Declaration of Interest ya Usukuma
Kwa vile mimi kwa kabila ni Msukuma, na kwa vile tayari kuna hoja za ukabila na Usukumanaization kwenye awamu hii ya Magufuli, naomba kudeclare my interest kuwa, siandiki bandiko hili kwa ajili ya Usukuma wangu, wala bandiko hili sio la ukabila, na Wasukuma sio wakabila, bali ni bandiko la kuhoji ukweli wa kabila halisi la kiongozi wetu, kwa nia njema kabisa ya kuwa na info, to be informed, kwa imani kuwa hakuna ubaya wowote kwa raia wowote wa Tanzania, kufahamu ukweli wa kabila halisi la kweli na asili halisi ya kweli ya kiongozi wetu.

Turudi kwenye mada kuu
Jee Rais Magufuli ni Msukuma, Muhaya au Muha wa Kakonko?.
Siku za nyuma kuna member mwingine humu aliwahi kuibuka na kudai kuwa rais Magufuli sii Msikuma bali ni Muhaya, akaibuka hadi na jina lake halisi la Kihaya kuwa anaitwa Katto, tulipomuomba atufafanulie ukweli huu, aliingia mitini, sasa leo huyu Gungele naye anaibuka na hoja yake kuwa rais Magufuli ni Muha wa Kakonko anakotoka Kakobe!, nimemuomba athibitishe, wakati tukisubiri uthibitisho huu, ndipo ninauliza, kuna ubaya wowote, Watanzania tukafahamishwa kwa ukweli halisi usiotia shaka na kwa uwazi, asili halisi ya rais Magufuli, jee rais wetu Dr. John Pombe Magufuli asili yake kabisa ni Kabila gani?.

NB. Hii tabia ya baadhi ya viongozi kubadili makabila na kutumia makabila mengine, haikuanza leo, ilianza tangu enzi za Baba wa Taifa, watu walisema humu, hata Mkapa naye akasemwa ni wa kule..., Edward Lowassa inafahamika wazi kwa wengi kuwa ni Mmasai wa Monduli, but in reality, Lowassa Mmeru, ila wazazi wake ndio walihamia Monduli, akazaliwa Monduli, akakulia Monduli, akalelewa Kimasai na kukua na morani wa kule, kwa kupitia hatua zote ikiwemo initiations, hivyo sasa yeye kweli ni Mmasai.

Hitimisho.
Rais Magufuli ni rais wetu, tumemchagua kwa kura zetu, yeye sio malaika bali ni binadamu tuu kama sisi, na hivyo kuweza kufanya makosa na hata dhambi, ila hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumhukumu binadamu mwingiwe kuwa ni mdhambi, na sio kumhukumu kuwa ni mdhambi, na katika kuijua asili yake, kuna baadhi ya mambo ni mambo yake ya binafsi, na hatupaswi kuyaulizia ili tusiingilie uhuru wake binafsi, yaani his right to privacy, lakini kuijua asili yake, dini yake, kabila lake sisi as taxpayers, we have the right to know details, his public as well as his private conduct haswa katika determination ya truthfulness, morality, na integrity ambayo ni ethical issue ni sifa kuu muhimu kabisa kuliko sifa zote za kiongozi wa nchi.
Jumatano Njema ya Kufungia Mwaka.
Paskali.
Rejea
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?."
Tuhuma za udini, ukanda na ukabila katika teuzi, kama wote wana sifa, kuna tatizo gani?.
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Wito Kwa Bunge Letu Tukufu: Mkithibisha Hii Nepotism ya Ajabu na Zile Boeing ni TT, Then Hatufai!.
https://www.jamiiforums.com/threads...edeye-ni-bomu.570208/page-8n-hatufai.1246099/
Update 1
Haya ni baadhi ya majibu ambayo ambayo ni very objective na yana coherence, na kwakutumia uzoefu wangu wangu wa miaka 27 ya uandishi wa habari, naamini haya yasemwayo ni kweli kwa msingi tuu wa hearsay na third party contributions, confirmation itapatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, wana ukoo, next of kin or from the horses mouth.






Angekubali kutubu angepungukiwa nini?
 
Ni ujinga wa kutokujua tu ndio unakusumbua.swala la kudukua simu ya mtu ni swala la kawaida sana.nchi nyingi zilizoendelea zina fanya hivyo,na kuna vitengo maalumu vya kiusalama vinafanya hivyo.
Shida sio kudukua bali lengo la kudukua.

Kama kweli wanadukua kwa sababu za kiusalama hakuna shida. Lakini most times sivyo......wengi wanadukuliwa kwa hila tu
 
Back
Top Bottom