Kauli ya Chiligati kuigharimu CCM

Nafikiri imeshaelezwa sana kuw akwa namna mfumo ulivyo wakisusia wao pesa zinazudishwa kwa mtoaji ambaye ni serikali na inaweza kuamua kufanya lolote

Hii ni kama uko kweney kikao labda cha halmashauri na wengi wenu labda mkagomea posho na wengine wakapokea nyie mliokataa hamuwezi kuilazimisha halmashauri iwatengee mfuko maalum wa kuweka posho zenu ili zikafanye au kwenda kwenye mradi wowote pale halmashauri ndio yenye mamlaka ya kufanya lolote na zile posho mlizozikataa.

So hata hapa wabunge wa upinzani wakisusia pesa zinarudishwa serikalini na wabunge hao hawatakuw ana uwezo wa kuamua lolote na hizo pesa

nnajuuuuuuta kukufaham cc!
 
[QUOTE au wakiwa Dodoma wanakuwa transformed from monogastric to ruminants (tumbo 1 hadi matumbo manne)?[/QUOTE]

Dah mkuu umenikumbusha mbali sana, hapo kwny monogastric and ruminants....nimekumbuka miaka 10 iliyopita wakati nikisoma somo la Agriculture shule moja hivi iko Morogoro.....back kwny Topic, CCM wako/wataendelea kuweko kwa ajili ya matumbo yao....nakumbuka Makamba alishawahi kusema hilo kuwa viongozi wa CCM wanachukia umasikini wao kwanza then ndo wengine baadae
 
Duuuuuu Pesa tamu kweli,ila hivi hawa magamba hizi kauli ni za watu binafsi au ndio za chama?Sasa ndio nawaelewa Umoja wa vilaza ccm(UVCC) na matamko yao kumbe wamerithishwa kutoka kwa baba na mama zao.......:A S 103::A S 103:
 
Hivi kwani na huyu ni Mbunge wa CCM??........msidanganyike kwenye suala la Maslahi Wabunge Wote ni Wamoja, hayo mengine ni siasa tu.

Hayo ni maneno ambayo ameandika Regia Mtema kwa mkono wake? kama ni kweli basi sasa nimeshapata jibu kwa nini KIRANGA anampinga sana dada huyu.
Naomba Regia Mtema kama hayo maneno hakuna mtu aliyeyaedit na ni wewe ndio ulieandika tafadhali tuombe radhi haraka sana kwa kutukebehi Walipa kodi, kwenye hili sitaki ushabiki wa vyama, ukali wa maisha hauchagui chama.
 
Hayo ni maneno ambayo ameandika Regia Mtema kwa mkono wake? kama ni kweli basi sasa nimeshapata jibu kwa nini KIRANGA anampinga sana dada huyu.
Naomba Regia Mtema kama hayo maneno hakuna mtu aliyeyaedit na ni wewe ndio ulieandika tafadhali tuombe radhi haraka sana kwa kutukebehi Walipa kodi, kwenye hili sitaki ushabiki wa vyama, ukali wa maisha hauchagui chama.

Mkuu check hapa...https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nyika-zitto-kabwe-na-90mil-3.html#post1700659
 
Mwe! hivi mimi nilikuwa wapi wakati huyu dada anatetea upumbavu huu? kama millioni 90 inaweza kuisha kwa wiki moja, vipi sisi tunaolipwa mshahara wa laki moja na nusu kwa mwezi? au bucha la nyama za wabunge na bucha letu bei ya kilo ya nyama ni tofauti? tumeliwa.

nasisitiza wabunge wakatwe mishahara na iyo posho iondolewe.
 
nasisitiza wabunge wakatwe mishahara na iyo posho iondolewe.

Hii thread kwa leo hainifai siko kwenye mood nzuri, ngoja niamie jukwaa la mahusiano kidogo naweza kupunguza stress. sasa nimeshaconnect dots ni kwa nini Zitto Kabwe alikuwa anakitaka cheo cha kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
 
Hii thread kwa leo hainifai siko kwenye mood nzuri, ngoja niamie jukwaa la mahusiano kidogo naweza kupunguza stress. sasa nimeshaconnect dots ni kwa nini Zitto Kabwe alikuwa anakitaka cheo cha kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
hama tu! tena ushindwe na ulegee au uliwakopesha sasa unatetea ili usije ukarushwa?
 
Nafikiri imeshaelezwa sana kuw akwa namna mfumo ulivyo wakisusia wao pesa zinazudishwa kwa mtoaji ambaye ni serikali na inaweza kuamua kufanya lolote

Hii ni kama uko kweney kikao labda cha halmashauri na wengi wenu labda mkagomea posho na wengine wakapokea nyie mliokataa hamuwezi kuilazimisha halmashauri iwatengee mfuko maalum wa kuweka posho zenu ili zikafanye au kwenda kwenye mradi wowote pale halmashauri ndio yenye mamlaka ya kufanya lolote na zile posho mlizozikataa.

So hata hapa wabunge wa upinzani wakisusia pesa zinarudishwa serikalini na wabunge hao hawatakuw ana uwezo wa kuamua lolote na hizo pesa
Wabunge wa upinzani(CDM) wanasomesha watoto kwenye majimbo yao ambao wazazi wao hawana uwezo kuwasomesha, ndio maana wao wana uchungu na mishahara mikubwa wanayolipwa wabunge kwani wengi wao wanatumia kuongeza nyumba ndogo tu.
 
Vyombo mbalimbali vimekuwa vikiripoti vipaumbele vya bajeti ya mwaka mpya wa fedha. Suala ambalo limekuwa na mvuto zaidi ni kukatwa kwa posho za vikao kwa wabunge ambapo ni sehemu ya bajeti ya upinzani.

Hapa hakika tumeona jinsi baadhi ya wanasiasa katika nchii walivyo walafi na ni namna gani wanasiasa hawa hawana utu kwa raia ambao ndiyo waliowaweka madarakani. Naibu katibu mkuu wa chama cha MAPINDUZI bwana JOHN CHILIGATI ametoa kauli inayoonyesha jinsi asivyo na utu na pia jinsi asivyo mzalendo.

Kauli ya kwamba Zitto anataka umaarufu kwa vile sitting allowance zimepunguzwa na kusema wazi kuwa CCM watachukua posho hizo na kama wapinzani hawataki waache ni kauli mbovu sana kwa kiongozi wa ngazi ya juu kama yeye.

Ikumbukwe kwamba mshahara wao uko palepale, posho nyingine ziko palepale na wakiwa bungeni wanalipiwa gharama zote muhimu. Kauli hii imedhihirisha wazi kuwa hata hii kampeni ya kujivua gamba ni danganya toto.

Wenzetu Ulaya wanapunguza matumizi sisi tunaongeza kwa mambo yasiyo na msingi? Mtu alipwe milioni saba gari ya zaidi ya milioni sitini marupurupu kibao bado ashindwe kuwa na utu hata chembe moja? Jeuri ya pesa hizi ndiyo imewahamisha majimboni wako hapa mjini wakijivinjari.
Jamani tembeeni Tanzania kuna umaskini mkubwa sana.

Mbunge akilipwa milioni saba adundulize ajinununlie gari lake mwenyewe kwanza atakuwa na uchungu nalo na atalitunza.
Kwa kauli hii ya Chiligati anazidi kuiweka CCM matatani.

"AFRICA POLITICS IS AN INVESTIMENT JUSTFY"​

Ni kweli kujitafutia umaarufu wa kisiasa, Slaa alishindwa na akaona wenzake wanafaidi na yeye akalazimisha chama chake kimlipe kama wabunge. Hakuna kitu hapo, CHAKushindwa (CHADEMA) wasiwalaghai watanzania bana
 
yaani hili li chiligati ndo lina mtindio wa ubongo mpaka mimacho imeziba..linanikera ka nini

Bora chiligati kawa Muwazi huyu Padre Mstaafu aka mchumba wa Josephine alizikataa bungeni akafukuzia alipwe vilevile Akiwa chama cha Demokrasia na Magwanda!
 
Wabunge wa upinzani(CDM) wanasomesha watoto kwenye majimbo yao ambao wazazi wao hawana uwezo kuwasomesha, ndio maana wao wana uchungu na mishahara mikubwa wanayolipwa wabunge kwani wengi wao wanatumia kuongeza nyumba ndogo tu.

Mbunge gani wa Chama cha Demokrasia na Magwanda anakusomesha?
 
Back
Top Bottom