- Thread starter
- #21
Nafikiri imeshaelezwa sana kuw akwa namna mfumo ulivyo wakisusia wao pesa zinazudishwa kwa mtoaji ambaye ni serikali na inaweza kuamua kufanya lolote
Hii ni kama uko kweney kikao labda cha halmashauri na wengi wenu labda mkagomea posho na wengine wakapokea nyie mliokataa hamuwezi kuilazimisha halmashauri iwatengee mfuko maalum wa kuweka posho zenu ili zikafanye au kwenda kwenye mradi wowote pale halmashauri ndio yenye mamlaka ya kufanya lolote na zile posho mlizozikataa.
So hata hapa wabunge wa upinzani wakisusia pesa zinarudishwa serikalini na wabunge hao hawatakuw ana uwezo wa kuamua lolote na hizo pesa
nnajuuuuuuta kukufaham cc!