tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Miongoni mwa kauli tata za aliyekuwa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ni pamoja na hii ''Uliwe kwanza ndipo ule, usipokubali kuliwa hautakula. Akimalizia kwa kusema sina maana hiyo.
Soma pia: Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia
Soma pia: Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia