Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,497
- 2,214
Vatican ndio inaongoza duniaAkitoa salam za pole Mh. Nchimbi alisema yeye ni Mkristo Mkatoliki hivyo watamzoea taratibu. Wakumzoea taratibu ni waombolezaji au wale wote wanaosema yuko kimya kwa yanayoendelea nchini kuanzia mauaji ya tarehe 29? Alisema kwa taratibu za kanisa Katoliki Baba Askofu anapokuwepo Makamu wake hawezi kuzungumza, hivyo na yeye kwakua Rais yupo ataongea kidogo sana. Lakini kwanini aseme yeye ni Mkristo Mkatoloki tutamzoea taratibu?! Tutamzoea taratibu katika lipi?!
Who are you JJM?Nimebahatika kusikia mahubiri ya Padre kuhusu ndoto yake nimewaza mengi.... Ila nimegundua kitu kuwa
Maisha na Imani hazikutaki uonekane kuwa wewe unastahili zaiiidi kuliko wengine, hapana! Bali inatufundisha kuwa wanyenyekevu siyo tu' kwa Muumba Bali hata kwa wanadamu tunao ishi na kukutana nao....
Nanukuu maneno yake, anasema alikaa kwenye kituo Cha huduma zaidi ya mwaka mzima lakini hakuwahi kufahamu mtu anayeomba Misa Kila Dominika ni nani lakini alipoulizia kumfahamu alielekezwa location anazopenda kukaa huyo muhusika mwishowe akaja kughundua kumbe muumini huyo ni JJM.
Wale wakuziba masikio na Kupayuka kama hamkuelewa mahubiri ya Paroko... Kamwe hata wangewalaza na kuwafunika na vitabu vya Dini kamwe hamtoelewa umuhimu wa unyenyekevu na kunyenyekeza kwa Mungu na kwa wanadamu.
Mfano wa unyenyekevu nimeuona pia kwa Mh. Vice
Mungu wa mbinguni awasimamie wote wanaoheshimu na kuupa thamani, UTU, UBINADAMU na UHAI wa wengine bila kujali wana nafasi gani hapo walipo.
Niwatakie Dominika Njema
Location
Kigali, Rwanda
Ndivyo tafakuri yako inavyosoma juu ya hotuba ile?Hivi ukiwa mwanaume na watu wanakujua ukisema ''mimi ni mwanaume'' ni kauli tata?
Ukiwa mwanamke ukisema wewe ni mwanamke ni kauli tata?
Au ukiwa amiri jeshi mkuu ukisema wewe ni amiri jeshi mkuu ni kauli tata?
UKitafakari kwa utulivu ukiangalia utagundua Nchimbi na bosi wake wote ni wale wale wana insecurity ,tofauti yao ni ndogo sana sababu wapo chini ya mfumo mmoja.
Uko sahihi sana Maste👊Ndivyo tafakuri yako inavyosoma juu ya hotuba ile?
Twaweza tofautiana kidogo.
Mimi nilitafsiri kama hotuba ile ni dongo kwa mashehe na wale wote wanaomuona kuwa ananyamazia kusemea mambo ya hovyo yanayofanyika nchini kwa sasa.
Jibu lake akawa kawajibu kwa mfumo huo: 'hawezi kupanua kinywa chake akiwa ni makamu wakati Rais yupo'.
Angalia jinga lingine hili.Baba yako angetumia condom tungeepuka comment za kijinga.Vatican ndio inaongoza dunia
Mkuu unategemea nini wakati ni kizazi cha ujahili ndio kimevamia JF?Now days tunajadili mambo madogo na ambayo hayana msingi.
Nakubaliana na wewe mkuu.Ndivyo tafakuri yako inavyosoma juu ya hotuba ile?
Twaweza tofautiana kidogo.
Mimi nilitafsiri kama hotuba ile ni dongo kwa mashehe na wale wote wanaomuona kuwa ananyamazia kusemea mambo ya hovyo yanayofanyika nchini kwa sasa.
Jibu lake akawa kawajibu kwa mfumo huo: 'hawezi kupanua kinywa chake akiwa ni makamu wakati Rais yupo'.