ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Soma tena uelewe. Style hiyo ya vitisho ni ya longlong ago.Unataka kutueleza nini mkuu kuwa muwazi ili tukuelewe tusije kukuelewa vibaya ikala kwako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma tena uelewe. Style hiyo ya vitisho ni ya longlong ago.Unataka kutueleza nini mkuu kuwa muwazi ili tukuelewe tusije kukuelewa vibaya ikala kwako!!
Ndio wewe uliyeandika una akaunti mbili?
unafikiri Lowasa akili zake za kushikiwa kama zako?Huwa hakurupuki huyu gifted !!Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usidhani kila mtu humu masikini kama wewe hadi useme nina kipato cha buku7 kwa siku..Weusi wa SA, USA etc wangekuwa na mitazamo kama ww, mpaka leo bado wangekuwa wanadhalilishwa. Wewe usharidhika na unashangilia hata ukandamizaji wao kwa bk7.
Ninamuomba Mungu usije ukarithisha wanao unyonge katika nchi yao. UFE NAO MWENYEWE. AMEN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashabikia upuuzi. Watanzania tunanufaika nini na hicho unachoeleza? Leta hoja zenye manufaa kwa TaifaHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator ...Hata wewe nakushauri awamu hii kaa kimya tu..
Zamani watu tulikuwa tunachangia kila mada humu JF kwasasa tunasoma tu na kupita,hata kutoa pole kwenye uzi wa lissu tunashindwa..
Sikuzote maishani mwako muache aliyeshika mpini afanye anachotaka ndiyo maisha..
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura ...Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa hatoi kauli tena
Mjinga tafakali kabla ya kupostHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekutana na chumaHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msemo Usibishane na Chizi aliuzingatia